VIJANA NCHINI TANZANIA WAMTAJA MWIGULU NCHEMBA KUWA NDIYE RAIS MPYA WANAYEMTEGEMEA,ASIFIKA KWA KUSIMAMIA KIDETE MASLAHI YA NCHI
Nyota ya Mwigula yazidi kung'ara urais
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi
Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete.
Vijana wengi wamesema kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ndiye anayestahili kumrithi Rais Kikwete kutokana na utendaji wake wa kazi.
Hatua ya vijana kumtaja Nchemba, ni mwendelezo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MWIGULU NCHEMBA ACHOTA BARAKA KWA MAMA MARIA NYERERE KUELEKEA SAFARI YAKE YA URAIS NCHINI TANZANIA





10 years ago
Vijimambo
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo24 Nov
11 years ago
Vijimambo20 Sep
FRELIMO WATUA NCHI TANZANIA NA KUKUTANA NA UONGOZI WA CCM TAIFA,MWIGULU NCHEMBA AZUNGUMZA NAO


10 years ago
Vijimambo
WANAKIGOMA WAKESHA WAKIMSUBIRI MWIGULU NCHEMBA ILIWAMDHAMINI KWENYE MBIO ZA URAIS NCHINI TANZANIA




5 years ago
Michuzi
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.

10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA JOHN HAULE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI KENYA