NI AIBU KUWA MPOKEAJI TU WA ZAWADI ZA MPENZI!
![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXpn1FWyrCiJ9WygCkQ9IaIWEfIpojOqBvWP7bPYH*uHeTTQ73P2MH7sQsyuujFvXxN1VQyzsPxAOj5fwJpeYy2e/GIFT.jpg?width=650)
Awali ya yote niwapongeze wale ambao wanaendelea na mfungo. Ni jambo la heri kulifanya kwani faida yake inajulikana. Kwa sisi tulio kwenye mapenzi ya kawaida (ambao hatujaoana) ni kipindi cha kuwa makini sana kuhakikisha hatutibuliani. Kama uko kwenye uhusiano na mpenzi ambaye ni Muislamu, heshimu imani yake kwa kuhakikisha humuwekei mazingira ya kumharibia swaumu kama vile kulazimisha kukutana naye faragha, kumtumia sms za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcmA1Ss2XWIMRcbylNPrdmhMmgjGVnceu25Th26Etf-zaIUpVXlyarfw-qAr0El-o*ldxObD2RipX1ImOZ7KbEAW/belina.jpg?width=650)
BELINA AZAWADIWA ZAWADI YA RUBBY NA MPENZI WAKE
9 years ago
Bongo530 Dec
Ladies: Zawadi za Christmas alizopewa Kim Kardashian na Kanye West zitakufanya umchukie mpenzi wako
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/4599861-6461267164-kim-k-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa kumnunulia mke wake, Kim Kardashian West, zawadi 150 za Christmas, Ijumaa iliyopita.
Mzigo huo wa zawadi ulioneshwa kwenye website ya Kim Kardashian.
Miongoni mwa zawadi hizo ni pamoja na nguo zenye thamani kubwa. Kwa mujibu wa Kim, Kanye alimtuma msaidizi wake Italia kufanya shopping ya nguo hizo na alikuwa akimpa maelekezo kwa Skype.
Cha kufurahisha zaidi wakati Kim anafungua zawadi hizi, Kanye alikuwa akiicheza albamu yake mpya, SWISH.
Jiunge na Bongo5.com...
11 years ago
Habarileo15 Mar
DC: Ni aibu Sumbawanga kuwa na watu waliodumaa
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amesema ni aibu kwa wakazi wa mkoa wa Rukwa kuwa na watu waliodumaa ilhali mkoa wa Rukwa ambamo Sumbawanga imo ni miongoni mwa mikoa michache nchini inayoongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula, hususan mahindi.
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Mwigulu: Ni aibu Tanzania kuwa maskini
NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni aibu kwa nchi ya Tanzania kuwa maskini na tegemezi kwa zaidi ya miaka 50, tangu ilipopata uhuru licha ya...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ni aibu Dar kuwa sugu kwa kipindupindu
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Owenya: ATCL kuwa na ndege moja aibu
MBUNGE wa Viti Maalumu, Lucy Owenya (CHADEMA), amesema ni aibu kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), kuwa na ndege moja wakati ilikuwa na ndege saba na ina rasilimali ambazo...
10 years ago
GPLIDRIS SINA MPANGO WA KUWA NA MPENZI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5KwOk-G*O1NbWOY1nRQyG10W6jjl3COumkZUA7xLrnSQRt1d1ihP2KemwmGpLcOTdq3TwHh4B1Xz0*BwjFPeA/valentinesdayhappycouples_00171162.jpg?width=650)
UNAANZAJE KUWA NA URAFIKI NA MPENZI MKE WA MTU?
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Lulu akiri mahakamani kuwa mpenzi wa Kanumba