Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ladies: Zawadi za Christmas alizopewa Kim Kardashian na Kanye West zitakufanya umchukie mpenzi wako

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Kanye West anadaiwa kumnunulia mke wake, Kim Kardashian West, zawadi 150 za Christmas, Ijumaa iliyopita.

Grand Opening of RYU Restaurant - Inside

Mzigo huo wa zawadi ulioneshwa kwenye website ya Kim Kardashian.

Miongoni mwa zawadi hizo ni pamoja na nguo zenye thamani kubwa. Kwa mujibu wa Kim, Kanye alimtuma msaidizi wake Italia kufanya shopping ya nguo hizo na alikuwa akimpa maelekezo kwa Skype.

Cha kufurahisha zaidi wakati Kim anafungua zawadi hizi, Kanye alikuwa akiicheza albamu yake mpya, SWISH.

Jiunge na Bongo5.com...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume

kim na kanye

Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).

kim na kanye

Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.

He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4

— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015

Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndoa ya Kanye West, Kim Kardashian ilivyokuwa gumzo Duniani

MEI 24, Dunia ilishuhudia shamrashamra za harusi ya mastaa wakubwa wanaotikisa kwa kazi zao, mwanadada, Kim Kardashian na Kanye West, baada ya wawili hao kufunga ndoa wakiachana na ukapera. Kim...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West kufanya wimbo wa pamoja na mkewe Kim Kardashian?

Rapper Kanye West pamoja na mke wake Kim Kardashian ambaye kwa pamoja wanatarajia kupata mtoto wao wa pili, wanadaiwa kuwa na mpango wa kuingia studio kufanya collabo! Chanzo kimoja kimeliambia gazeti la The Sun kuwa Kim ameamua kuanza kujifunza kupiga piano kama sehemu ya maandalizi ya collabo hiyo, na kuwa Kanye ana mpango wa kuachia […]

 

9 years ago

Mtanzania

Kanye West ampa Kim bonge la zawadi

Grand Opening of RYU Restaurant - InsideNEW YORK, MAREKANI

BAADA ya Kim Kardashian na Kanye West kupata mtoto wao wa pili ‘Saint’, mkali huyo wa hip hop ameamua kumpa zawadi mke wake ya Sh bilioni 2.

Msanii huyo ameamua kuonesha jeuri ya fedha ikiwa ni shukrani kwa mke wake kwa ajili ya kumzalia mtoto wa pili.

Kanye alifanya hivyo ikiwa ni siku chache tangu Kim ajifungue mtoto huyo ambaye kwa sasa amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii.

Kwa mujibu wa Jarida la People la Marekani, limeandika kwamba Kanye amekuwa mtu wa furaha...

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume

kanye and kim

Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.

kanye and kim

Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?

Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kanye West na Kim Kardashian wawa visura wa kampeni ya Balmain

Kanye West na Kim Kardashian ni visura wapya wa kampeni ya Balmain iliyopewa jina, “Army of Lovers.” Hii ni mara ya kwanza wawili hao wanapata deal la fashion la pamoja kama mtu na mke wake. Tazama picha zao.

 

10 years ago

Bongo5

Kanye West amuandikia ujumbe mtamu wa birthday mkewe Kim Kardashian

October 21 Kim Kardashian West amesheherekea siku yake ya kuzaliwa, ametimiza miaka 34. Staa huyo wa Keeping Up With The Kardashians ambaye ni mama wa mtoto mmoja (North West) amepokea pongezi nyingi ikiwemo ya mume wake rapper Kanye West, ulioambatana na maneno matamu.

 

10 years ago

Bongo5

Kanye West atumia shilingi milioni 125 kumnunuliaa mwanae zawadi za Christmas

Kanye West anadaiwa kutumia $74,000 (zaidi ya shilingi milioni 125) kumnunulia mwanae North zawadi Christmas. Chanzo kimoja kimeliambia jarida la Heat kuwa Kanye alitumia $62,000 kununua tiara (crown) iliyozungushiwa almas pamoja na mdoli wa gari inayofanana na SUV yake alioununua kwa $12,000. Chanzo kingine kimedai kuwa Kanye amepanga kumfanyia mke wake Kim surprise ya nguvu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani