Kanye West ampa Kim bonge la zawadi
NEW YORK, MAREKANI
BAADA ya Kim Kardashian na Kanye West kupata mtoto wao wa pili ‘Saint’, mkali huyo wa hip hop ameamua kumpa zawadi mke wake ya Sh bilioni 2.
Msanii huyo ameamua kuonesha jeuri ya fedha ikiwa ni shukrani kwa mke wake kwa ajili ya kumzalia mtoto wa pili.
Kanye alifanya hivyo ikiwa ni siku chache tangu Kim ajifungue mtoto huyo ambaye kwa sasa amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa mujibu wa Jarida la People la Marekani, limeandika kwamba Kanye amekuwa mtu wa furaha...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Dec
Ladies: Zawadi za Christmas alizopewa Kim Kardashian na Kanye West zitakufanya umchukie mpenzi wako

Kanye West anadaiwa kumnunulia mke wake, Kim Kardashian West, zawadi 150 za Christmas, Ijumaa iliyopita.
Mzigo huo wa zawadi ulioneshwa kwenye website ya Kim Kardashian.
Miongoni mwa zawadi hizo ni pamoja na nguo zenye thamani kubwa. Kwa mujibu wa Kim, Kanye alimtuma msaidizi wake Italia kufanya shopping ya nguo hizo na alikuwa akimpa maelekezo kwa Skype.
Cha kufurahisha zaidi wakati Kim anafungua zawadi hizi, Kanye alikuwa akiicheza albamu yake mpya, SWISH.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
10 years ago
GPL
KIM AJIVUNIA KANYE WEST KUITWA DOKTA
10 years ago
Africanjam.Com
PHOTOS: KIM & KANYE WEST WEDDING ALBUM

Kim Kardashian and Kanye West tied the knot at the Forte di Belvedere in Florence, Italy, back in May 2014. To commemorate the once-in-a-lifetime event, Kim took to Instagram to share some never-before-seen snaps from the day, including new shots from the photo booth and the carriage ride at Versailles in France. One year ago, the bride wore a Givenchy Haute Couture gown and was walked down the aisle by her stepfather, Bruce Jenner, while the rest of her family — including sisters Khloé and...
9 years ago
Bongo506 Dec
Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume

Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).
Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.
He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4
— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015
Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...
11 years ago
GPL
MUONEKANO WA KIM, KANYE WEST SIKU YA NDOA YAO
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Kim, Kanye West wapata mtoto kabla ya Krismasi
LAGOS, NIGERIA
LICHA ya kujitabiria kwamba wangepata mtoto wa pili kipindi cha sikukuu ya Krismasi, mkali wa hip hop, Kanye West na mke wake, Kim Kardashian, wamefanikiwa kupata mtoto wa pili wa kiume juzi.
Kupitia mtandao wa Twitter, Kim aliandika kwamba, “Tulikuwa tunakusubiri kwa muda mrefu, hatimaye muda umefika, karibu sana mwanangu,” aliandika Kim akimkaribisha mdogo wa North West.
Kim pia aliandika katika ‘Website’ yake kwamba, ‘‘Kim Kardashian West na Kanye West wamefanikiwa kupata...