Kim, Kanye West wapata mtoto kabla ya Krismasi
LAGOS, NIGERIA
LICHA ya kujitabiria kwamba wangepata mtoto wa pili kipindi cha sikukuu ya Krismasi, mkali wa hip hop, Kanye West na mke wake, Kim Kardashian, wamefanikiwa kupata mtoto wa pili wa kiume juzi.
Kupitia mtandao wa Twitter, Kim aliandika kwamba, “Tulikuwa tunakusubiri kwa muda mrefu, hatimaye muda umefika, karibu sana mwanangu,” aliandika Kim akimkaribisha mdogo wa North West.
Kim pia aliandika katika ‘Website’ yake kwamba, ‘‘Kim Kardashian West na Kanye West wamefanikiwa kupata...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo506 Dec
Kanye West na Kim Kardashian wapata mtoto wa kiume
![kim na kanye](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kim-na-kanye-300x194.jpg)
Hatimaye mke wa rapa Kanye West, Kim Kardashian amejifungua mtoto wao wa pili, wa kiume siku ya Jumamosi Asubuhi (Dec .5).
Kim aliandika taarifa ya kujifungua kupitia website yake. “Kim Kardashian West and Kanye West welcomed the arrival of their son this morning. Mother and son are doing well,” ulisomeka ujumbe huo.
He's here! https://t.co/KlWQrG3Ri9 pic.twitter.com/NRLQCeQ5H4
— Kim Kardashian West (@KimKardashian) December 5, 2015
Mpaka sasa Kim na Kanye bado hawajasema jina la mtoto...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Mtoto wa Kim na Kanye West aitwa Saint West
9 years ago
Bongo508 Dec
Kanye West na Kim Kardashian watoa jina la mtoto wao wa kiume
![kanye and kim](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/kanye-and-kim-300x194.jpg)
Baada ya ubashiri wa watu wengi juu ya jina atakalopewa mtoto wa pili wa mastaa Kanye West na mkewe Kim Kardashian West, hatimaye wazazi wake wametoa jina.
Mtoto wao wa kiume aliyezaliwa siku ya Jumamosi asubuhi wamemuita ‘SAINT WEST’, unalionaje?
Kim K ameshare na ulimwengu jina la baby brother wa North West kupitia website yake kwa kuandika, “To our fans. Saint West. 12.05.15. 8 pounds, 1 ounce.” Na kwenye page yake ya Instagram alipost emoji za watu wanne, baba, mama, na watoto wawili...
9 years ago
Bongo501 Dec
Kanye West na Kim Kardashian bado wanahaha kutafuta jina la mtoto wao ajaye
![1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1420671242_kanye-west-kim-kardashian-zoom-300x194.jpg)
Muda wa kumpokea mtoto wa pili umekaribia lakini Kim Kardashian na Kanye West wanadaiwa hadi sasa hawajapata jina la kumpa.
Vyanzo vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa wanandoa hao wamekuwa wakijadiliana majina ya kumpa lakini bado hawajapenda hata moja.
Wanatarajia kupata mtoto wa kiume siku ya Christmas japo Kim anahofia kuwa anaweza kujifungua mapema zaidi. Kanye na Kim wana mtoto wa kike, North.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...
9 years ago
Bongo507 Dec
Hili linaweza kuwa jina atakalopewa mtoto wa kiume wa Kanye West na Kim Kardashian
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/042412-fashion-beauty-kim-kardashian-kanye-west-3-300x194.jpg)
Kanye West na Kim Kardashian wamejaaliwa mtoto wa kiume wikiendi iliyomalizika japo jina la mtoto bado halijafamika.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa mtoto huyo ataitwa Robert, jina la baba yake Kim Kardashian ambaye ni marehemu kwa sasa.
Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center ya Los Angeles kwenye wodi ya uzazi yenye gharama ya $4,000.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI
11 years ago
Bongo522 Jul
Kanye na Kim watumia tshs mil 835 kupata mtoto anayefanana na North West ili kujihami na mapaparazi
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Kanye West ampa Kim bonge la zawadi
NEW YORK, MAREKANI
BAADA ya Kim Kardashian na Kanye West kupata mtoto wao wa pili ‘Saint’, mkali huyo wa hip hop ameamua kumpa zawadi mke wake ya Sh bilioni 2.
Msanii huyo ameamua kuonesha jeuri ya fedha ikiwa ni shukrani kwa mke wake kwa ajili ya kumzalia mtoto wa pili.
Kanye alifanya hivyo ikiwa ni siku chache tangu Kim ajifungue mtoto huyo ambaye kwa sasa amekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii.
Kwa mujibu wa Jarida la People la Marekani, limeandika kwamba Kanye amekuwa mtu wa furaha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXX6a*sDO7SNArpu1fRyaysz3nv-AAa*Vvzlidpa-uKtM25PL1-2lpqKQPwC7tFj1jzv9piuFa0NiSNPSQjOvfOx/kim.jpg?width=650)
KIM AJIVUNIA KANYE WEST KUITWA DOKTA