BELINA AZAWADIWA ZAWADI YA RUBBY NA MPENZI WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcmA1Ss2XWIMRcbylNPrdmhMmgjGVnceu25Th26Etf-zaIUpVXlyarfw-qAr0El-o*ldxObD2RipX1ImOZ7KbEAW/belina.jpg?width=650)
Na Imelda Mtema SIKU chache baada ya kujifungua mtoto wa kike aliyempa jina la Naila, mwanamitindo maarufu Bongo, Belina Mgeni amezawadiwa hereni na cheni vyenye vito vya rubby na mpenzi wake. Mtoto wa kike wa Belina aliyempa jina la Naila. Akichonga na Weekly Exclusive, Belina alisema kuwa furaha yake imeongezeka mara dufu baada ya kupata zawadi hiyo kutoka kwa baba mtoto wake huyo (jina kapuni) ambaye pia hakumsahau na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXpn1FWyrCiJ9WygCkQ9IaIWEfIpojOqBvWP7bPYH*uHeTTQ73P2MH7sQsyuujFvXxN1VQyzsPxAOj5fwJpeYy2e/GIFT.jpg?width=650)
NI AIBU KUWA MPOKEAJI TU WA ZAWADI ZA MPENZI!
11 years ago
Bongo Movies14 Jul
SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.
“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...
9 years ago
Bongo530 Dec
Ladies: Zawadi za Christmas alizopewa Kim Kardashian na Kanye West zitakufanya umchukie mpenzi wako
![Grand Opening of RYU Restaurant - Inside](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/4599861-6461267164-kim-k-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa kumnunulia mke wake, Kim Kardashian West, zawadi 150 za Christmas, Ijumaa iliyopita.
Mzigo huo wa zawadi ulioneshwa kwenye website ya Kim Kardashian.
Miongoni mwa zawadi hizo ni pamoja na nguo zenye thamani kubwa. Kwa mujibu wa Kim, Kanye alimtuma msaidizi wake Italia kufanya shopping ya nguo hizo na alikuwa akimpa maelekezo kwa Skype.
Cha kufurahisha zaidi wakati Kim anafungua zawadi hizi, Kanye alikuwa akiicheza albamu yake mpya, SWISH.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Mina atamba kumfunika Rubby
NA SHARIFA MMASI
MSANII chipukizi wa muziki wa kizazi kipya, Amina Hussein ‘Mina’, ametamba kumpoteza Rubby kwenye ramani ya muziki kutokana na uwezo mkubwa alionao.
Mina hivi sasa anafanya vizuri mkoani Kilimanjaro na wimbo wake unaoitwa ‘Najiamini’.
“Kwa sasa muziki wangu unasikika na kupendwa zaidi mikoani, kikubwa ambacho nitakifanya ili nitimize azma yangu ni kujikita katika utunzi kitu ambacho Rubby hawezi pamoja na kutengeneza ‘network’ kubwa ndani na nje ya Tanzania,” alisema Mina...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jbaar29oQX7tCwf4bHl3jIw2xN1VvUQIVEwqNBzFhxhcZRYcHJZ4uJH4mVebht*NKUgskVXSW640IqPn3rC7Kp5B2jsE5Nsw/Nisha.jpg)
NISHA MPENZI WAKE WAMWAGANA
10 years ago
Mtanzania14 May
Kabula atulizwa na mpenzi wake
NA RHOBI CHACHA
BAADA ya kuachana na mwanamuziki Ruta Bushoke ‘Bushoke’, mwigizaji wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ ameibuka na kudai kwamba mpenzi wake mpya hataki aende kwenye kumbi za starehe.
Kabula bila kumtaja mpenzi wake huyo mpya, alidai kwamba amekatazwa na hatakiwi kuzungumzia habari za kwenda kwenye kumbi za starehe.
“Nimeamua kupunguza kwenda kwenye kumbi za starehe kwa sababu niko bize na mpenzi wangu na pia kwa sasa naandika filamu na nyimbo kwa ajili ya mradi wangu...
10 years ago
Bongo Movies08 Jan
Nisha na Mpenzi Wake Wamwagana
Mwigizaji wa kike anaeonyesha uwezo mkubwa kwenye tansia ya filamu hapa Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.
Chanzo makini cha GPL,kilisema kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja yupo bize na maisha yake.
Baada ya kuzinyaka habari hizo paparazi...
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Achinja mpenzi wake kisha ajiua
MKAZI wa Kijiji cha Migori mkoani Iringa, Alex Sihayo (38) amemchinja kwa kumkata koromeo na kumua mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake kisha kujiua kwa kunywa sumu. Kamanda wa Polisi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg-*zb5jR*8KLFlRVHBVDoHliIfwI*F-2qQ-39NTWFWUi2NA*Ari0pYJ1p7hGr3xg1X-u1nyFGEhr3YZBYEKFX5a/balo.jpg?width=650)
BALOTELLI AMVALISHA PETE MPENZI WAKE