Mina atamba kumfunika Rubby
NA SHARIFA MMASI
MSANII chipukizi wa muziki wa kizazi kipya, Amina Hussein ‘Mina’, ametamba kumpoteza Rubby kwenye ramani ya muziki kutokana na uwezo mkubwa alionao.
Mina hivi sasa anafanya vizuri mkoani Kilimanjaro na wimbo wake unaoitwa ‘Najiamini’.
“Kwa sasa muziki wangu unasikika na kupendwa zaidi mikoani, kikubwa ambacho nitakifanya ili nitimize azma yangu ni kujikita katika utunzi kitu ambacho Rubby hawezi pamoja na kutengeneza ‘network’ kubwa ndani na nje ya Tanzania,” alisema Mina...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IcmA1Ss2XWIMRcbylNPrdmhMmgjGVnceu25Th26Etf-zaIUpVXlyarfw-qAr0El-o*ldxObD2RipX1ImOZ7KbEAW/belina.jpg?width=650)
BELINA AZAWADIWA ZAWADI YA RUBBY NA MPENZI WAKE
9 years ago
Mtanzania11 Sep
Bingwa Kombe la FA kumfunika wa Ligi
*Atacheza mechi saba tu atanyakua mil. 50/-
NA ELLY MHAGAMA, DAR ES SALAAM
BINGWA wa mashindano ya Kombe la FA ‘Azam Sports Federation Cup’, anatarajia kumfunika vibaya bingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwa fedha ya zawadi inayotolewa na wadhamini wa michuano hiyo.
Wakati wadhamini wa Ligi Vodacom wakitoa zawadi ya Sh milioni 70 kwa bingwa wake baada ya kucheza michezo 30, bingwa wa FA yeye anatarajia kuondoka na Sh milioni 50 baada ya kucheza michezo saba tu.
Mashindano ya FA...
9 years ago
TheCitizen27 Sep
60 Tanzanian pilgrims still missing after Mina disaster
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Messi aanza kumfunika Ronaldo kimahesabu, achukua tuzo 2
Michel Platini akimkabidhi tuzo Lionel Messi, huku Cristiano Ronaldo akishuhudia tukio hilo.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ile kauli ya dalili ya mvua ni mawingu ndiyo inayoonekana na kwa staa wa Barcelona, Lionel Messi (pichani kushoto), ikiwa ni siku moja tangu Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kutaja majina matatu ya wachezaji watakaowania tuzo hiyo, nyota ya Messi imeanza kung’aa baada ya kutwaa tuzo mbili (2) katika utoaji wa tuzo za Ligi ya Hispania La Liga.
Katika sherehe hizo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYJBlxpAvD07Jagz0iIVjsOJGYxGyhZ5HYHdWhT50Nnym37i9ndm7xbXqKAQhcq9BwoFHDlJIFJhzv5bny719yN/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... SHILOLE KUMFUNIKA YEMI ALADE
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s72-c/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea kwenye Jamaraat , palitokea msongamano mkubwa ( stampede) na kupelekea mahujaji...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
More than 700 killed in Saudi Hajj stampede and 863 injured in crush at Mina outside Mecca, Saudi’s
At least 717 people have been killed in a stampede at the annual Hajj pilgrimage, Saudi Arabia’s civil defence directorate said, as the death toll continued to rise.
The directorate said at least 863 other pilgrims were injured in Thursday’s stampede, which took place in Mina, on the outskirts of the holy city of Mecca.
The injured have been evacuated to four different hospitals in the Mina region, according to a civil defence spokesman.
Mina is where pilgrims carry out a symbolic stoning of...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s72-c/5143.jpg)
STOP PRESS: TAARIFA YA MUFTI MKUU JUU YA MAAFA YA MAHUJAJI, WATANZANIA WANNE WAPOTEZA MAISHA KATIKA MSONGAMANO ULIOTOKEA MINA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kye98J7S6eQ/VgTafXJgq3I/AAAAAAAH7EI/vuqh2DSW2q0/s640/5143.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E8GUzMCVxwA/VgTkMMhocwI/AAAAAAAH7FU/Px1Ju0KNVZ8/s640/0cc4124e6de72529cf77b45665ace60e.jpg)
------------------------------------------------------------------------------------
Bismilah Rahman RaheemAssalaam alaykum warahmatullahi wa barakaatuhu.
Taarifa hii inahusu tukio lilitokea jana Mina Saudi Arabia wakati mahujaji wakielekea...