Tahadhari kwa wanawake kwa mtu huyu!
Pichani Malaria akiwa amejipumzisha kwenye kibaraza cha maeneo ya ofisi za Idara ya Habari Maelezo kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Hali ya sintofahamu juu ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Malaria’, imezidi kuwa kero kwa baadhi ya watu ikiwemo wanawake kwa mtu huyo kuwafanyia vitendo vya kidhalilishaji kwa kuwashika sehemu nyeti, na baada ya hapo kukimbia ama humtisha kwa lengo la kutaka kumpiga aliyemfanyia kitendo hicho.
Kwa siku kadhaa,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Tahadhari kwa madereva kona za Iyovi ni kali sana, endesha kwa umakini kuepusha ajali
Wewe ni dereva wa basi la abiria ama gari binafsi ?hebu chukua hatua ya kupunguza ajali leo kwa kujihadhari na kona hizi na Iyovi na Kitonga na kona nyingine kali kama hizi nchini kwani maisha yako ni dhamani kubwa na uhai wake bado tunautamani.
Vema kuheshimu alama za barabarani na kuacha mbwembwe uwapo barabarani katika kona kali kama hizi.
Katika kona kama hizi zingatia alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele.
Kulipita gari la ...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Wapiga kampeni mtu kwa mtu, nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa
11 years ago
Michuzi02 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
5 years ago
BBCSwahili25 May
Mona Lisa: Kwa nini mwanamke huyu anajulikana kwa 'kupigwa busu' nyingi zaidi duniani
9 years ago
StarTV26 Nov
Mtu mmoja afariki kwa kukatwa kwa kitu chenye ncha kali
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwikwabe Mwita mkazi wa Kibasa wilaya ya tarime mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia duka ambalo marehemu alikuwa akifanya kazi ya ulinzi nyakati za usiku
Akiongea kwa masikitika makubwa ya kuuawa kwa mlinzi wa duka lake na kuporwa mali zote zilizo kuwemo ndani ya duka hilo mmiliki wa duka, Chacha marwa analiomba jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na...
11 years ago
Michuzi30 Apr
NEWS ALERT: MTU MMOJA AJINYONGA KWA RAFIKI YAKE KWA KUTUMIA KANGA
KIJANA Victor Wilfred (29) mkazi wa Keko jijini Dar es Salaam amekufa kwa kujinyonga kwa kutumia kanga aliyoifunga kwenye dirisha la chumba cha rafiki yake.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Ulrich Matei alisema kuwa marehemu alifika kwa rafiki yake hapa Kibaha kwa lengo la kutafutiwa kazi.
Kamanda Matei amesema kuwa tukio hilo lilitokea leo Aprili 30 mwaka huu majira ya saa 5...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Alice: Nimemsamehe mtu huyu
10 years ago
Bongo506 May
Muigizaji wa Bollywood Salman Khan ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela, kwa kumgonga na kumuua mtu kwa gari