Vikwazo kwa mazoezi Bujumbura
Meya wa jiji la Bujumbura Said Juma, ametoa amri inayokataza watu wengi kufanya mazoezi kwenye barabara za mji huo sharti upate idhini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
POLISI WAWILI WAUAWA KWA GURUNETI BUJUMBURA, BURUNDI
10 years ago
StarTV21 May
Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.
Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.
Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Vikwazo kwa makamanda wa S Sudan
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine
11 years ago
Mwananchi04 Feb
TPSF yaeleza vikwazo kwa wafanyabiashara
11 years ago
Mwananchi24 Oct
Mazoezi kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji
11 years ago
BBCSwahili26 Mar
Obama aionya Urusi kwa vikwazo zaidi
11 years ago
Habarileo02 Apr
Kinana akerwa vikwazo kwa wakulima Rukwa
KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana, amesema tatizo la wakulima wa Mkoa wa Rukwa, kuwekewa vikwazo na kupangiwa maeneo na muda wa kuuza mazao yao ni lazima liwe historia ili waondokane na umasikini.
5 years ago
MichuziSADC WAPENDEKEZA KUONDOLEWA KWA VIKWAZO VYA KIBIASHARA MIPAKANI
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert Ibuge amewataka watanzania kuendelea kudumisha umoja na Ushirikiano wa Kibiashara katika ukanda wa Jumuiya ya maendeleo Kusini mwa Afrika SADC.
Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kufungua Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa ngazi ya Makatibu Wakuu uliofanyika kwa njia ya Mtandao (video conference) leo jijini Dar es Salaam, amesema Mkutano huo ni mahususi kwa...