TPSF yaeleza vikwazo kwa wafanyabiashara
Ubinafsi wa wafanyabishara wadogo ni miongoni mwa vikwazo vinavyozuia maendeleo yao kutokana na kukosa fursa zinazounganisha nguvu zao, ili waweze kupata mitaji mikubwa itakayowasaidia kuwekeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wafanyabiashara walia na vikwazo
Baadhi ya wafanyabiashara wamesema vikwazo vya ndani vya kufanya biashara vinawakatisha tamaa ya kuchangamkia masoko kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
10 years ago
GPLTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile. Wanahabari wakichukua… ...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio yake kwa kipindi cha miaka 10
10 years ago
MichuziTBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
MichuziSerikali, TPSF watoa changamoto kwa taasisi za fedha nchini
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Vikwazo kwa mazoezi Bujumbura
Meya wa jiji la Bujumbura Said Juma, ametoa amri inayokataza watu wengi kufanya mazoezi kwenye barabara za mji huo sharti upate idhini.
10 years ago
BBCSwahili02 Jul
Vikwazo kwa makamanda wa S Sudan
Umoja wa Mataifa umeweka vikwazo hivyo dhidi ya makanda sita Sudan Kusini
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine
Mawaziri wa mambo ya nje wa Muungano wa Ulaya, wameamua kuwawekea vikwazo viongozi wa ghasia zinazoendelea nchini Ukraine.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wi0UxkVfhqE/Xufkt3ZLn7I/AAAAAAALt-E/-n5K7AVHqS0-7eppGtYWC0dSBYRRnsoFgCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO
![](https://1.bp.blogspot.com/-wi0UxkVfhqE/Xufkt3ZLn7I/AAAAAAALt-E/-n5K7AVHqS0-7eppGtYWC0dSBYRRnsoFgCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania