Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TPSF yaeleza vikwazo kwa wafanyabiashara

Ubinafsi wa wafanyabishara wadogo ni miongoni mwa vikwazo vinavyozuia maendeleo yao kutokana na kukosa fursa zinazounganisha nguvu zao, ili waweze kupata mitaji mikubwa itakayowasaidia kuwekeza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na vikwazo

Baadhi ya wafanyabiashara wamesema vikwazo vya ndani vya kufanya biashara vinawakatisha tamaa ya kuchangamkia masoko kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

10 years ago

GPL

TBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM

Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile. Wanahabari wakichukua… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio yake kwa kipindi cha miaka 10

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi, Segolena Francis (kulia), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akimkaribisha  Mkurugenzi wa Barabara wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Ven Ndyamkama (kushoto), kuzungumza na waandishi wa habari  kuhusu mafanikio ya serikali katika sekta ya ujenzi kwa kipindi cha  miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.

 

Mkurugenzi wa Barabara wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Ven Ndyamkama (kushoto), akizungumza katika mkutano na...

 

10 years ago

Michuzi

TBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM LEO

 Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile.Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Serikali, TPSF watoa changamoto kwa taasisi za fedha nchini


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dkt. Mary Nagu (katikati) akiingia katika kongamano la majadiliano kuhusu changamoto za kufikika kwa huduma za fedha kwa wajasiriamali wadogo na wa kati Tanzania jijini Dar es Salaam Jumanne wiki hii.  Wengine ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC), Bw. Raymond Mbilinyi (kushoto) na  Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bw. Godfrey Simbeye (Kulia).  Kongamano hilo lilitayarishwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa mazoezi Bujumbura

Meya wa jiji la Bujumbura Said Juma, ametoa amri inayokataza watu wengi kufanya mazoezi kwenye barabara za mji huo sharti upate idhini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa makamanda wa S Sudan

Umoja wa Mataifa umeweka vikwazo hivyo dhidi ya makanda sita Sudan Kusini

 

11 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa viongozi wa ghasia Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa Muungano wa Ulaya, wameamua kuwawekea vikwazo viongozi wa ghasia zinazoendelea nchini Ukraine.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV 
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani