Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.

Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura

Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.

Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.

Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.

Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura

Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Auawa kwa kupigwa risasi

MKAZI wa Kijiji cha Masuguru, Kata ya Masagala, wilayani Kishapu, Juma Masalu (25), ameuawa kwa kupigwa risasi baada ya kuingia katika mgodi wa Almasi unaomilikiwa na Wiliamson Diamond. Kaimu Kamanda...

 

10 years ago

GPL

MEYA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA MKEWE

Daniel Crespo enzi za uhai wake. MEYA wa Bell Gardens, California nchini Marekani, Daniel Crespo ameuawa jana kwa kupigwa risasi na mkewe nyumbani kwake. Crespo alipigwa risasi wakati wa mzozo baina yake na mkewe ambapo mtoto wao wa kiume mwenye miaka 19 alijaribu kuingilia na kusukumwa na baba yake ndipo mtuhumiwa alipofyatua risasi. Marehemu alipoteza maisha akiwa njiani kupelekwa katika hospitali iliyo karibu na nyumbani...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwanamke auawa kwa kupigwa risasi na polisi

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Iglansoni, ameuawa kwa kupigwa risasi kichwani kwa bahati mbaya na askari polisi waliokuwa katika jitihada za kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi.

Aliyeuawa ni Joyce Maragabu (65), ambaye anadaiwa kupigwa risasi na askari hao waliokuwa wakijihami na kundi la watu waliotaka kuwavamia ili wasimkamate mhalifu.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela, alisema askari hao walikuwa wanataka kumkamata, Nkida...

 

9 years ago

Mwananchi

Mfanyakazi wa Zantel auawa kwa kupigwa risasi

Meneja wa operesheni wa kampuni ya huduma za simu za mkononi ya Zantel, Gabriel Rafael ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi.

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA

Mwili wa marehemu Ahmed Bakhshuwein baada ya kupigwa risasi. Mfanyabiashara, Ahmed Bakhshuwein ameuawa kwa kupigwa risasi tatu kichwani akiwa kwenye gari eneo la Malindi, Mombasa karibu na Al-R azaak Stores nchini Kenya. CREDIT: Michuzi Issa.

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Kabete Nairobi, Mh. George Muchai auawa kwa kupigwa risasi


Kwa mujibu wa televisheni ya ntv ya Kenya.
Mheshimiwa ameuawa pamoja na dereva wake pamoja na walinzi wake wawili majira ya saa nane na nusu usiku wa kuamkia leo katkka barabara ya Kenyatta avenue wakati akiwa njiani kutoka katika sherehe.
Alisimama na ili kununua magazeti,na ndipo mtu aliyevalia mask alipojitokeza kutoka gari ndogo aina ya toyota pro-box na kuanza kuwafyatulia risasi vichwani kila mmoja,akitumia bunduki aina ya AK 47.
Pia alipora briefcase ya marehemu pamoja na bastola mbili...

 

9 years ago

StarTV

Mtu Mmoja mbaroni kwa kukutwa na Bastola 1, risasi 9

Polisi mkoani Tanga imemkamata mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Bashiru Hamis maarufu kama Hazari mwenye umri wa miaka 42 mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na Bastola 1 yenye namba C. 1193 na risasi 9 kwenye magazini.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika kijiji cha Tengwe wakati akielekea kufanya uhalifu kwenye vituo vya mafuta vilivyopo katika mji wa Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja auawa katika mapigano Cairo

Mtu mmoja auawa katika mapigano jijini Cairo nchini Misri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani