Mtu mmoja auawa katika mapigano Cairo
Mtu mmoja auawa katika mapigano jijini Cairo nchini Misri
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 Nov
Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.
Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.
Kumetokea mashambulio...
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Mtu mmoja auawa katika maandamano Burundi
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.
Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...
10 years ago
StarTV21 May
Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.
Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.
Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MTU MMOJA AUAWA NA WANANCHI BAADA YA KUMUUA MKEWE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014 majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la MWAJUMA D/O CHOMOLA mwenye umri wa miaka 48, Mgogo mkazi wa Mzogole aliuawa kwa kupigwa...
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Mhamiaji mmoja auawa katika kambi ya PNG
10 years ago
StarTV29 Dec
Mtu mmoja afariki, wengine 21 wajeruhiwa katika ajali Singida
Na Emmanuel Michael, Singida.
MTU mmoja amefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Kosta walilokuwa wakisafiria kutoka Shinyanga kwenye harusi kurejea nyumbani Morogogo kupinduka mkoani Singida.
Ni wakati wa mwingine ambapo mkoa wa Singida umejawa na simanzi na huzuni baada ya kushuhudia mtu mmoja aliyepoteza maisha na wengi 21 wakilazwa kwa matibabu kutokana na ajali ya barabarani.
Mkuu wa Wilaya ya Singida Queen Mlozi ni miongoni mwa viongozi wa kwanza...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
mtu mmoja anusurika katika ajali ya gari eneo la Kibele, Zanzibar, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Maandamano London: Tulimsaidia mtu mmoja kutouwawa katika maandano ya Kifo cha George Floyd