Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.

Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.

 
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.

 
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.

 
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.

 
Kumetokea mashambulio...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja auawa katika mapigano Cairo

Mtu mmoja auawa katika mapigano jijini Cairo nchini Misri

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu mmoja auawa katika maandamano Burundi

Mtu mmoja ameripotiwa kuuawa baada ya kupigwa risasi na maafisa wa polisi kufuatia ghasia kati ya polisi na waandamanaji mjini Bujumbura

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhamiaji mmoja auawa katika kambi ya PNG

Wakimbizi wanaojaribu kutafuta hifadhi nchini Australia walizua vurugu na kukabiliana na maafisa wa usalama wa Papua New Guinea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa

Abubakar Shariff anayejulikana kwa jina lengine kama Makaburi, amekuwa akituhumiwa kwa kusajili vijana kuenda kupigania kundi la Al Shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa wa upelelezi auawa Mombasa Kenya

Afisa mmoja wa upelelezi amepigwa risasi na kuuwawa katika jiji la Mombasa nchini Kenya.

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA

Mwili wa marehemu Ahmed Bakhshuwein baada ya kupigwa risasi. Mfanyabiashara, Ahmed Bakhshuwein ameuawa kwa kupigwa risasi tatu kichwani akiwa kwenye gari eneo la Malindi, Mombasa karibu na Al-R azaak Stores nchini Kenya. CREDIT: Michuzi Issa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mmoja Moro

Mkulima mmoja ameuawa kwa kupigwa fimbo kichwani na watu wanaodaiwa kuwa ni wafugaji wa jamii ya Kimasai kwenye ugomvi uliotokea baada ya wafugaji hao kulisha ng’ombe wao kwenye shamba la mkulima huyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Abubakar Makaburi auawa kwa kupigwa risasa Mombasa

Sheikh Abubakar Shariff ‘Makaburi’ anayehusishwa na matukio ya kigaidi nchini Kenya ameuawa jana na watu wasiojulikana mjini Mombasa.

 

9 years ago

Mtanzania

Mapigano ya wakulima, wafugaji yaua mtu mmoja, ng’ombe 71 Morogoro

FB_IMG_1450111743756NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MTU mmoja amefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa, akiwamo askari polisi mmoja baada ya kutokea mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Dihinda, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dihinda, Hariri Kilama, alisema tukio hilo lilitokea Desemba 11, saa 11 jioni.

Kwa mujibu wa Kilama, tukio hilo lilisababishwa na mfugaji mmoja aliyejulikana kwa jina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani