Afisa wa upelelezi auawa Mombasa Kenya
Afisa mmoja wa upelelezi amepigwa risasi na kuuwawa katika jiji la Mombasa nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZfKTftH0xy8L1-272ZBhkGvJT*1IikXLTfhMX08m3DWvjqROZyhmixElo-bCM7e3DhMPUEH4eq6AOt0-gavprVT/AHMED.jpg)
MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Afisa wa kanisa apigwa risasi Mombasa
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu
MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Afisa mkuu wa polisi auawa Misri
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Afisa wa soka Nigeria auawa kwa risasi
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa
10 years ago
StarTV10 Nov
Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.
Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.
Kumetokea mashambulio...
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Sheikh Abubakar Makaburi auawa kwa kupigwa risasa Mombasa
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Afisa wa riadha Kenya anachunguzwa na IAAF