Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisa wa upelelezi auawa Mombasa Kenya

Afisa mmoja wa upelelezi amepigwa risasi na kuuwawa katika jiji la Mombasa nchini Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA AUAWA KWA KUPIGWA RISASI MOMBASA, KENYA

Mwili wa marehemu Ahmed Bakhshuwein baada ya kupigwa risasi. Mfanyabiashara, Ahmed Bakhshuwein ameuawa kwa kupigwa risasi tatu kichwani akiwa kwenye gari eneo la Malindi, Mombasa karibu na Al-R azaak Stores nchini Kenya. CREDIT: Michuzi Issa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisa wa kanisa apigwa risasi Mombasa

Polisi nchini Kenya wanasema afisa mmoja wa kanisa amepigwa risasi na kuuawa alipokuwa akielekea katika maombi.

 

11 years ago

Habarileo

Mkuu wa Upelelezi auawa kwa kisu

MKUU wa Upelelezi, Kituo cha Polisi Isebania Wilaya ya Kurya West, Kenya kilicho mpakani na Tanzania, John Kaduri ameuawa kwa kuchomwa kisu shingoni na mtuhumiwa wa vitendo vya uhalifu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Afisa mkuu wa polisi auawa Misri

Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema afisa wa ngazi ya juu wa polisi nchini Misri ameuawa katika shambulio la bomu katika mji mkuu Cairo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisa wa soka Nigeria auawa kwa risasi

Afisa wa shirikisho la soka la Nigeria Ibrahim Abubakar amepigwa risasi na kuuawa kwenye nyumba yake mjini Abuja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mhubiri wa kiisilamu auawa Mombasa

Abubakar Shariff anayejulikana kwa jina lengine kama Makaburi, amekuwa akituhumiwa kwa kusajili vijana kuenda kupigania kundi la Al Shabaab nchini Somalia

 

10 years ago

StarTV

Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.

Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.

 
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.

 
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.

 
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.

 
Kumetokea mashambulio...

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Abubakar Makaburi auawa kwa kupigwa risasa Mombasa

Sheikh Abubakar Shariff ‘Makaburi’ anayehusishwa na matukio ya kigaidi nchini Kenya ameuawa jana na watu wasiojulikana mjini Mombasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisa wa riadha Kenya anachunguzwa na IAAF

Naibu rais wa shirikisho la riadha la Kenya, AK David Okeyo, anatuhumiwa kwa 'kuiba pesa zilizolipwa na kampuni ya kutengeneza bidhaa za michezo Nike'.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani