Afisa mkuu wa polisi auawa Misri
Maafisa wa usalama nchini Misri wanasema afisa wa ngazi ya juu wa polisi nchini Misri ameuawa katika shambulio la bomu katika mji mkuu Cairo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mkuu wa polisi auawa nchini Misri
Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Mkuu wa polisi auawa nchini Libya
Mkuu wa polisi katika mji mkuu wa Libya Tripoli, ameuawa na watu wasiojulikana wakati akitoka kwenye mkutano wa usalama
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Afisa wa upelelezi auawa Mombasa Kenya
Afisa mmoja wa upelelezi amepigwa risasi na kuuwawa katika jiji la Mombasa nchini Kenya.
9 years ago
BBCSwahili06 Jan
Afisa wa soka Nigeria auawa kwa risasi
Afisa wa shirikisho la soka la Nigeria Ibrahim Abubakar amepigwa risasi na kuuawa kwenye nyumba yake mjini Abuja.
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.
10 years ago
Vijimambo30 Jun
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/29/150629120620_hisham_barakat_640x360_ap.jpg)
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.
Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika wilaya ya Heliopolis.
Nguvu za shambulio hilo ziliharibu baadhi ya nyumba na maduka.Walinzi wawili wa bwana Barakat pia walijeruhiwa.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/29/150629141549_barakat_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Bwana Barakat amekuwa akipendekeza mamia ya wapiganaji hao kufunguliwa mashtaka tangu kupinduliwa kwa rais...
10 years ago
GPLAFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI
Baadhi ya silaha zilizokamatwa na jeshi la polisi. Kamanda Suleiman Kova akionyesha silaha zilizokamatwa kwa wanahabari (hawapo pichani).…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IX_hovejP5E/U8-jj7qPhWI/AAAAAAAAGPQ/w3GJXLIwzWA/s72-c/VOT4.jpg)
ASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA KUJIFANYA AFISA USALAMA WA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-IX_hovejP5E/U8-jj7qPhWI/AAAAAAAAGPQ/w3GJXLIwzWA/s1600/VOT4.jpg)
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa kampuni ya reli Tanzania (RAHCO) Benhadard Tito.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania