Mhamiaji mmoja auawa katika kambi ya PNG
Wakimbizi wanaojaribu kutafuta hifadhi nchini Australia walizua vurugu na kukabiliana na maafisa wa usalama wa Papua New Guinea.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 Nov
Mmoja auawa katika mapigano Mombasa.
Waandamanaji walipora maduka na kuwarushia mawe polisi kupinga kupigwa risasi na kuuwawa kwa mtu anayeshukiwa kuwa mpiganaji Muislamu.
Polisi wanakanusha kuwa walihusiuka na mauaji hayo yaliyotokea Jumamosi ya Hassan Guti, ambaye alihusishwa na mauaji ya afisa mwandamizi wa polisi mwezi Agosti.
Inaarifiwa kuwa ghasia zilizuka Jumapili baada ya mazishi ya Bwana Guti.
Watu kadha wa msimamo mkali wa kidini wameuwawa mjini Mombasa katika miezi ya karibuni.
Kumetokea mashambulio...
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Mtu mmoja auawa katika maandamano Burundi
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
9 years ago
Mwananchi26 Sep
Mmoja afariki, kambi ya kipindupindu yapungukiwa dawa
9 years ago
Habarileo12 Sep
Mmoja auawa,tisa wajeruhiwa Tarime
MTU mmoja ameuawa na wengine tisa wamejeruhiwa vibaya baada ya wafuasi wanaosadikiwa kuwa ni wa vyama vya Chadema na CCM kupambana katika kata ya Nyanungu, wilaya ya Tarime mkoani Mara.
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Waandishi wa kigeni washambuliwa, mmoja auawa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s72-c/tt.jpg)
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s1600/tt.jpg)
Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
10 years ago
StarTV21 May
Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.
Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.
Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
MTU MMOJA AUAWA NA WANANCHI BAADA YA KUMUUA MKEWE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014 majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la MWAJUMA D/O CHOMOLA mwenye umri wa miaka 48, Mgogo mkazi wa Mzogole aliuawa kwa kupigwa...