Mmoja afariki, kambi ya kipindupindu yapungukiwa dawa
Wakati mtu mmoja akifariki dunia katika Manispaa ya Temeke kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, idadi ya wagonjwa waliolazwa imefikia 20.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chaingia Morogoro, mmoja afariki dunia
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chaingia Moro, Shinyanga, mmoja afariki
9 years ago
StarTV07 Nov
Mlinzi mmoja afariki, mmoja ajeruhiwa Geita
Walinzi wawili wanaolinda katika baa ya Wacha Waseme na Lunguya mjini Geita wamejeruhiwa na vitu vyenye ncha kali ambavyo vimesababisha kifo cha mlinzi mmojawapo.
Mlinzi huyo aliyejulikana kwa jina moja la Michael amefariki dunia baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Wilaya ya Geita.
Tukio hilo limejiri majira ya usiku wakati walinzi hao wakiwa wamelala katika lindo ambapo watu wasiojulikana wanadaiwa kuvamia na kuwashambulia na kuvinjwa katika baa ya lunguye na kuiba shilingi elfu tisini...
9 years ago
Michuzi04 Jan
WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIMU AKAGUA KAMBI YA KIPINDUPINDU YA NYANKUMBU MKOANI GEITA
![mli1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mli1.jpg)
9 years ago
Habarileo20 Nov
Kipindupindu chaua mmoja wilayani Nkasi
UGONJWA wa kipindupindu umeibuka wilayani Nkasi mkoani Rukwa na mpaka sasa umeua mtu huku wengine 19 wakipatiwa matibabu katika vituo vitatu tofauti vilivyotengwa katika mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani humu baada ya kuathirika kwa ugonjwa huo.
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Waziri Ummy Mwalimu atembelea kambi ya wagonjwa wa kipindupindu Nyankumbu, Geita ahimiza usafi
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akivaa vifaa maalum vya kujikinga na kipindupindu kabla ya kuingia kwenye kambi hiyo, kulia ni Mganga mfawidhi wa Kituo hicho Josephat Msafiri.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea katika kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu Nyankumbu, Wilayani Geita mapema Januari 4 huku akiitaka...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-uY3DnqFOBR0/VVyMJmMIQ2I/AAAAAAAAa-Y/CefpYxDw97c/s640/B1.jpg)
KIPINDUPINDU TISHIO KAMBI YA WAKIMBIZI WA BURUNDI NYARUGUSU, OXFAM YATOA MSAADA WA MAJI SAFI NA VYOO
9 years ago
Habarileo29 Aug
WHO yatoa dawa, fedha kudhibiti kipindupindu
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imepewa msaada wa vitu mbalimbali zikiwemo dawa zenye thamani ya Sh milioni 42.2 pamoja na fedha taslimu milioni 160 kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) ili kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu.
9 years ago
VijimamboWHO YATOA DAWA ZA MILIONI 42.2 KUPAMBANA NA KIPINDUPINDU NCHINI