Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindupindu chaingia Morogoro, mmoja afariki dunia

Wakazi wa Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro wamekumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu  ambapo hadi sasa mtu mmoja ameripotiwa kufa na hivyo kuzua hofu kwa wakazi  wa eneo hilo na manispaa kwa ujumla.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chaingia Moro, Shinyanga, mmoja afariki

Wakazi wa Kata ya Mindu Manispaa ya Morogoro wamekumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu  ambapo hadi sasa mtu mmoja ameripotiwa kufa na hivyo kuzua hofu kwa wakazi  wa eneo hilo na manispaa kwa ujumla.

 

9 years ago

Mwananchi

Mmoja afariki, kambi ya kipindupindu yapungukiwa dawa

Wakati mtu mmoja akifariki dunia katika Manispaa ya Temeke kutokana na ugonjwa wa kipindupindu, idadi ya wagonjwa waliolazwa imefikia 20.

 

9 years ago

Mwananchi

Kipindupindu chaingia Pwani

Baada ya kushambulia mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro, ugonjwa wa kipindupindu sasa umepiga hodi katika Mkoa wa Pwani na tayari watu tisa wameonekana kuwa na dalili za ugonjwa huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Boniface Njohole afariki dunia Morogoro

Mchezaji wa zamani wa klabu ya Reli ya Morogoro na Taifa Stars, Boniface Njohole amefariki dunia katika kijiji cha Mgeta tarafa ya Ifakara wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro.

 

10 years ago

GPL

MMOJA WA WAANDAMANAJI AFARIKI DUNIA NCHINI BURUNDI

Waandamanaji nchini Burundi wakifanya vurugu kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais wa awamu ya tatu. Raia mmoja amefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano yanayoendelea kupamba moto nchini Burundi kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu. Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anayetarajia kuwania urais wa awamu ya tatu nchini… ...

 

11 years ago

CloudsFM

LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA

Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...

 

11 years ago

GPL

MMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO

Dereva wa basi la Zakaria Express, Mbaraka Shamsi (35) mkazi wa Magu akiwa hospitali baada ya ajali. Roberty Nashoni (48) ambaye…

 

10 years ago

GPL

WA 3 WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10 NA MAMA YAO MMOJA AFARIKI DUNIA

Na Haruni Sanchawa
Katika Gazeti la Uwazi Toleo Na. 893 wiki iliyopita, kuliandikwa habari ya kusikitisha yenye kichwa kisemacho; MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10. Ni habari ambayo ilizua gumzo kubwa nchini kutokana na mazingira yake kuwa ya kushtua. Marehemu Ally Juma enzi za uhai wake. Baada ya habari hiyo kutoka ambayo ilikuwa na lengo la kuisaidia familia hiyo, sasa habari mpya ni kwamba, mmoja wa watoto hao,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani