MMOJA WA WAANDAMANAJI AFARIKI DUNIA NCHINI BURUNDI
![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4KhsSV0fWXZNmYUtzFUbEJrx3KnbCz0*2rog4jANWTgoQrPjokpYeuBjG0LL6fLDxFYn-kuHq5KSGxYuY5CEhB/150504132535_burundi_moto_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Waandamanaji nchini Burundi wakifanya vurugu kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais wa awamu ya tatu. Raia mmoja amefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano yanayoendelea kupamba moto nchini Burundi kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu. Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza anayetarajia kuwania urais wa awamu ya tatu nchini… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chaingia Morogoro, mmoja afariki dunia
11 years ago
CloudsFM13 Jun
LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA
Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ETn0TCbNY_k/XoSNa2RPkKI/AAAAAAAC2Og/VHkY0DCs5sQ4GiYe_7MP_dmchEW41ehuQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuunER2dajpYRgtJiyxfabWo0kNKHlzYQCVSYBpBbN5q3enmMxUmV6OOrUhW4K2d1h*cuX7er4nECU9SQUaZh9Ry/FRONTUWAZI.gif?width=650)
WA 3 WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10 NA MAMA YAO MMOJA AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPLMMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw2yC3sq0IIR00Ad6ZnkHlC8PYv5WLR*gP2FpZbyQ09GfZG3PBDgZrEZjIQDzcCFjjicRy45ERx3cSNg0w6-GUT/kamandadiwanathuman.jpg)
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
11 years ago
Michuzi16 Jul
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.
Tukio hilo limetokea Novemba 112 majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway, kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.
Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rdGHlq3uWHU/Xt-jfWV4n5I/AAAAAAAAzfE/1fUu2n7hCVYfqqU3LuUeVyuybf-MjxqNACLcBGAsYHQ/s72-c/Burundi-s-President-Pierre-Nkurunziza-1.jpg)
RAIS ALIYEMALIZA MUDA WAKE WA BURUNDI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rdGHlq3uWHU/Xt-jfWV4n5I/AAAAAAAAzfE/1fUu2n7hCVYfqqU3LuUeVyuybf-MjxqNACLcBGAsYHQ/s400/Burundi-s-President-Pierre-Nkurunziza-1.jpg)
Kulingana na msemaji wa serikali, balozi Willy Nyamitwe, Rais Pierre Nkurunziza amefariki kwa mshtuko wa moyo kinyume na uvumi unaoenezwa.
Serikali ya Burundi imetangaza siku saba za maombolezi na anatuma risala za ramirambi kwa familia.
Rais Pierre Nkurunziza...