RAIS ALIYEMALIZA MUDA WAKE WA BURUNDI AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rdGHlq3uWHU/Xt-jfWV4n5I/AAAAAAAAzfE/1fUu2n7hCVYfqqU3LuUeVyuybf-MjxqNACLcBGAsYHQ/s72-c/Burundi-s-President-Pierre-Nkurunziza-1.jpg)
Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amefariki dunia kutokana na shambulio la moyo, kwa mujibu wa taarifa ya serikali. Nkurunziza ambaye alikuwa anamaliza muda wake wa urais amefariki katika hospitali ya Karusi alipokuwa amelazwa jana.
Kulingana na msemaji wa serikali, balozi Willy Nyamitwe, Rais Pierre Nkurunziza amefariki kwa mshtuko wa moyo kinyume na uvumi unaoenezwa.
Serikali ya Burundi imetangaza siku saba za maombolezi na anatuma risala za ramirambi kwa familia.
Rais Pierre Nkurunziza...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE AAGANA NA BALOZI WA ALGERIA ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-o2mL_3ufUJ8%2FVLa0MvxcGcI%2FAAAAAAADVgE%2FPTmWYfeECBU%2Fs1600%2Faa2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-T3Ad-NQc5LY%2FVLa0MfV2FzI%2FAAAAAAADVgA%2FmpY8NRElI8E%2Fs1600%2Faa3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-USR64kXnR5U/Vd9Zlb-Nq4I/AAAAAAAH0fI/qejr_hUmNVg/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS Kikwete AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-USR64kXnR5U/Vd9Zlb-Nq4I/AAAAAAAH0fI/qejr_hUmNVg/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--gJoTJ1BEQ8/Vd9ZlEnYrzI/AAAAAAAH0fE/-93j6thXsp8/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jYAQhI2baa4/VPR94u6mZ7I/AAAAAAAHHJ8/dgcF_ZBurEI/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA JAPAN ALIYEMALIZA MUDA WAKE NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-jYAQhI2baa4/VPR94u6mZ7I/AAAAAAAHHJ8/dgcF_ZBurEI/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-k6ImNs7jGKM/VPR94gCZaKI/AAAAAAAHHKA/iJKDoDzSNeg/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Nov
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aagana na Balozi wa Qatar aliyemaliza muda wake nchini Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimpokea na kumkaribisha Balozi wa Qatar aliyemaliza muda wake nchini Tanzania, Mhe. Jassin Mohamed Mubarak Al-Darwish, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, jana Novemba 5, 2014 kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi wa nchini yake nchini. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi wa Qatar...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yJyXVeJHPkA/Vad3KlIu4oI/AAAAAAADyBc/dmQe4ykP9L8/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA SWEDEN NCHINI TANZANIA ALIYEMALIZA MUDA WAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-yJyXVeJHPkA/Vad3KlIu4oI/AAAAAAADyBc/dmQe4ykP9L8/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEbTdxURWjc/Vad3Ktw54cI/AAAAAAADyBg/Hk_gjrhj3rM/s640/2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6amsb-P4kMw/VPRtt_aKnlI/AAAAAAADbQo/7Bg2iZArn3s/s72-c/01%2B(2).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA JAPAN ALIYEMALIZA MUDA WAKE WA KAZI NCHINI, MASAKI OKADA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6amsb-P4kMw/VPRtt_aKnlI/AAAAAAADbQo/7Bg2iZArn3s/s1600/01%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ed8OKxWWqIM/VPRttxZBlXI/AAAAAAADbQs/P4fSAL2iPJ8/s1600/02%2B(2).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ilMxc15LE-0/VFoSlhfCLyI/AAAAAAACSv4/kW0kdwkpzu4/s72-c/Balozi.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA BALOZI WA QATAR ALIYEMALIZA MUDA WAKE NCHINI TANZANIA, JASSIN MOHAMED MUBARAK AL-DARWIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-ilMxc15LE-0/VFoSlhfCLyI/AAAAAAACSv4/kW0kdwkpzu4/s1600/Balozi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-A8zCgTr1sj8/VFoSooHU4FI/AAAAAAACSwA/cAD6Ij3_HOE/s1600/Balozi2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s72-c/s1.jpg)
SIMBACHAWENE AMUAGA MPAMBE WAKE ALIYEMALIZA MUDA WAKE KATIKA UTUMISHI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kDjWxyMdYA/XsQ6husb3BI/AAAAAAALq2I/926AWrfVwp00puOc-SZTSZmSC1x6MtgogCLcBGAsYHQ/s1600/s1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-HO15na99VMw/XsQ6hToLEFI/AAAAAAALq2A/AuVYcDHme90zKRmJQ4n8AwjDoo-JsGKugCLcBGAsYHQ/s1600/s2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-igGzfZYuz7I/Xt-kRwu4pmI/AAAAAAALtNU/47t5t8Z5IVoL-K4HtercVVOboELSTYB_ACLcBGAsYHQ/s72-c/pierre-nkurunziza-afp-650650x40081431127999.jpg)
BREAKING NYUUUUUZZZZZ.......: RAIS WA BURUNDI, PIERRE NKURUNZIZA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-igGzfZYuz7I/Xt-kRwu4pmI/AAAAAAALtNU/47t5t8Z5IVoL-K4HtercVVOboELSTYB_ACLcBGAsYHQ/s640/pierre-nkurunziza-afp-650650x40081431127999.jpg)
Taarifa hizo zimetolewa hivi punde na kituo cha Mtandao wa Serikali ya Burundi ikithibitisha kifo jioni hii. Hivi karibuni iliripotiwa kuumwa kwake katika mitandao mbalimbali ambapo kabla ya kuumwa aliweza kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Nchi hiyo Mwezi Mei.
Tutaendelea kuwajuza kwa habari zaidi.