WA 3 WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10 NA MAMA YAO MMOJA AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuunER2dajpYRgtJiyxfabWo0kNKHlzYQCVSYBpBbN5q3enmMxUmV6OOrUhW4K2d1h*cuX7er4nECU9SQUaZh9Ry/FRONTUWAZI.gif?width=650)
Na Haruni Sanchawa Katika Gazeti la Uwazi Toleo Na. 893 wiki iliyopita, kuliandikwa habari ya kusikitisha yenye kichwa kisemacho; MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10. Ni habari ambayo ilizua gumzo kubwa nchini kutokana na mazingira yake kuwa ya kushtua. Marehemu Ally Juma enzi za uhai wake. Baada ya habari hiyo kutoka ambayo ilikuwa na lengo la kuisaidia familia hiyo, sasa habari mpya ni kwamba, mmoja wa watoto hao,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKP2wQKUDNl1M1MUIpcUXJpT0VADl2r24m5rSwyVoVdsZrjgq*2ARGQMp*Av8W*Vb-Uj*CrS*EEtR-wszzPojolj/Mwingine.jpg?width=650)
MWINGINE AFARIKI DUNIA! WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvu4V3s8svnXnW4te-*ML60f3O9oE7S141Q52tVGCjvf-EVlrTFOTp2XvQqdQrAcv8rxJ1SSsdLc5mhgpi6o5r9C/Mafia.jpg?width=650)
WATOTO 3 WALIOFUNGIWA MIAKA 10 NA MAMA YAO MWINGINE TAABANI
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kipindupindu chaingia Morogoro, mmoja afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP4KhsSV0fWXZNmYUtzFUbEJrx3KnbCz0*2rog4jANWTgoQrPjokpYeuBjG0LL6fLDxFYn-kuHq5KSGxYuY5CEhB/150504132535_burundi_moto_640x360_bbc_nocredit.jpg)
MMOJA WA WAANDAMANAJI AFARIKI DUNIA NCHINI BURUNDI
11 years ago
GPL24 May
MASKINI! MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA 4, MMOJA AFARIKI
11 years ago
CloudsFM13 Jun
LANGA ATIMIZA MWAKA MMOJA TANGU AFARIKI DUNIA
Tarehe kama ya leo mwaka jana,msanii wa Hip Hop, Langa Lileo, rais wa gheto mida ya jioni alitangazwa kuwa amefariki dunia, kwa mujibu wa ripoti ya hospitali msanii huyo alikuwa anasumbuliwa na malaria kali, alilazwa siku moja katika hospitali ya taifa Muhimbili siku ya pili yake ndiyo akafariki. Safari ya Langa kimuziki ilianzia kwenye shindano la kusaka vipaji la Coca-Cola Pop Stars mwaka 2004, na wakapatikana washindi watatu wakaunda kundi la Wakilisha alikuwemo Langa, Shaa, na Witness,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ETn0TCbNY_k/XoSNa2RPkKI/AAAAAAAC2Og/VHkY0DCs5sQ4GiYe_7MP_dmchEW41ehuQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
11 years ago
GPLMMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.
Tukio hilo limetokea Novemba 112 majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway, kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.
Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...