MTU MMOJA AUAWA NA WANANCHI BAADA YA KUMUUA MKEWE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-cv3cDJjmqoM/VB_242_YDqI/AAAAAAAGk8w/9P5G6LBYFUs/s72-c/unnamed%2B(27).jpg)
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma. Watu wawili wameuawa Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea mnamo tarehe 20/09/2014 majira ya saa 23:30hrs katika Kijiji cha Mzogole Wilayani Mpwapwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la MWAJUMA D/O CHOMOLA mwenye umri wa miaka 48, Mgogo mkazi wa Mzogole aliuawa kwa kupigwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s72-c/ddm.jpg)
MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s1600/ddm.jpg)
MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aB6xV8D3cgw/VPdvd1O2e5I/AAAAAAAC064/Cb2-dL7vXD0/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE WILAYANI MPWAPWA MKOANI DODOMA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aB6xV8D3cgw/VPdvd1O2e5I/AAAAAAAC064/Cb2-dL7vXD0/s1600/7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jse9Z6fK204/VPduf4Ry07I/AAAAAAAC06U/SDWcyZ55o_w/s1600/22.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw2yC3sq0IIR00Ad6ZnkHlC8PYv5WLR*gP2FpZbyQ09GfZG3PBDgZrEZjIQDzcCFjjicRy45ERx3cSNg0w6-GUT/kamandadiwanathuman.jpg)
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9xdTjUcF2U/VPc0wqD98JI/AAAAAAAAXgY/asxOXN7ZJgY/s72-c/1.jpg)
KINANA AANZA ZIARA MKOANI DODOMA ATEMBELEA MIRADI MBALI MBALI WILAYANI MPWAPWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z9xdTjUcF2U/VPc0wqD98JI/AAAAAAAAXgY/asxOXN7ZJgY/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-leGP3-9lOlA/VPc0tc6UGtI/AAAAAAAAXgQ/ZQyirfKYaL4/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rDiB7Kb_Lps/VPdB_b-sYkI/AAAAAAAAXgw/yEPXEKKYO0k/s1600/4.jpg)
10 years ago
Vijimambo25 Feb
HABARI KWA KINA KUHUSIANA NA VURUGU YA WANANCHI BAADA YA POLISI KUUA MTU MMOJA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2634822/highRes/953708/-/maxw/600/-/t54iw4/-/kilolo.jpg)
Wananchi wakiangalia moto uliowashwa na watu wasiojulikana wakati wa vurugu baina ya polisi na wananchi katika mji mdogo wa Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa jana. Picha ya Mtandao HUKO ILULA MKOANI IRINGA
Kilolo. Polisi wa wa kituo cha Ilula kilicho Kilolo mkoani Iringa wanatuhumiwa kuua mtu mmoja, jambo lililoamsha vurugu kubwa zilizosababisha magari mawili kuchomwa moto.Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa wananchi waliokuwa na hasira walichoma moto magari yaliyokuwa yameegeshwa...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mume ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa panga
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
10 years ago
BBCSwahili26 Apr
Mtu mmoja auawa katika maandamano Burundi
10 years ago
StarTV21 May
Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi Bujumbura.
Mtu mmoja apigwa risasi Bujumbura
Habari kutoka Burundi zinasema kuwa mtu mmoja amepigwa risasi na kuuawa katika mji mkuu wa Bujumbura.
Mtu huyo alikuwa miongoni mwa waandamanaji wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kugombea urais kwa awamu ya tatu.
Walioshuhudia wanasema kuwa polisi walimpiga mwandamanaji huyo risasi mgongoni wakiwa katika eneo la Musaga linalotazamwa kama ngome ya upinzani.
Waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Bujumbura lakini walitimuliwa kwa mabomu...