MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s72-c/tt.jpg)
Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina moja la Betty baada ya kupigwa risasi leo asubuhi huko Yombo Vituka, Temeke jijini Dar es Salaam ukiwa umesitiriwa kwa kufunikwa na khanga.
Gari alilokuwa amepanda marehemu betty likiwa limedumbukia mtaroni kutokana na dereva wa gari hilo mali ya kampuni ya ulinzi ya Tunu kupigwa risasi ya mkono mara baada ya kukataa kusimama wakati alipoambiwa kufanya hivyo na majambazi.
Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qvT8WTokz6dhCDcUn6FL-jOQ6AOi*vHAWqMUP7dd8qNvLxPnZ3TZf2zbFvM3ksnxUccd8dv7pF5IAejNO2mSnswZpJ-I3d8U/Newfolder1.jpg?width=650)
APIGWA RISASI ASUBUHI YA LEO, YOMBO VITUKA JIJINI DAR ES SALAAM!
10 years ago
Mwananchi16 Dec
Radi yaua mtu mmoja Mbozi na kujeruhi 11
11 years ago
Michuzimajambazi yaua mpitanjia wakati wa uporaji arusha leo
Kunradhi kwa picha ya kusumbua hisia
Mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha.
Inasemekana majambazi hayo yalikuwa yakipora kwenye Bureau Change iitwayo Nothern ambapo marehemu alikuwa akipita jirani na eneo hilo na alipowaona alipiga kelele ndipo akafyatuliwa risasi kadhaa na kupoteza maisha.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Majambazi yafunga mtaa, yaua mmoja
11 years ago
GPLTASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s72-c/Image1.jpg)
MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s640/Image1.jpg)
Kifo cha Mtu huyo ambaye inaelezwa ni kijana wa makamo alikutwa amefariki kwenye uchochoro wa nymba hiyo mara baada ya kubainika na baadhi ya Wananchi,waliokuwa wakikatiza mtaa huo kuelekea mtaa mwingine,Baadhi ya Mashudhua wa eneo hilo wameeleza kuwa mtu huyo si mkazi wa mtaa huo,
"Mtu huyo si Mkazi wa Eneo...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Majambazi waua mmoja, wapora
11 years ago
Dewji Blog01 Jul
Basi la Lushanga laua mmoja na kujeruhi wawili Sengerema, Picha na habari ziko hapa!
Kijana ambaye ni dereva wa toroli la miguu minne jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 32 amefariki dunia papo hapo na kupasuka Kichwa baada ya kugongwa na basi la abiria lililokuwa likitokea mkoa wa Geita kuelekea jijini Mwanza kwenye makutano ya barabara ya Kamanga na Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Kijana huyo pia alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa “Helmet” huenda ingemsaidia asipasuke Kichwa.(Picha na Zainul Mzige).
Na MOblog,...
9 years ago
StarTV30 Nov
Polis Mara lamshikilia Mwanaume mmoja kwakumbaka binti yake
Jeshi la polisi wilayani bunda linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumbaka binti yake wa kuzaa ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi
Afisa tarafa ya chamriho, bw. Boniphace maiga, amemtaja mwanaume huyo kuwa ni athuman jeck mkazi wa kijiji cha mariwanda, kata ya hunyari wilayani hapa.
Amesema kuwa mwanaume huyo alimfanyia unyama huo binti yake wakati mke wake akiwa amekwenda kwenye biashara, zake ambapo anadaiwa kumfungia ndani ya nyumba yao na kuanza kumbaka.
Baada ya kitendo hicho...