MTU MMOJA ADAIWA KUKUTWA AMEFARIKI LEO ASUBUHI JIJINI MBEYA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-6wLHhRCmsGg/VooST1V7ywI/AAAAAAAALBw/7hwUlYbPCdU/s72-c/Image1.jpg)
Mtu mmoja Jijini Mbeya (PICHANI JUU) ambaye hakuweza kutambulika kwa Majina,inadaiwa amekutwa amefariki leo asubuhi kwenye moja ya uchochoro wa nyumba zilizopo katika mtaa wa Mwamfupe.
Kifo cha Mtu huyo ambaye inaelezwa ni kijana wa makamo alikutwa amefariki kwenye uchochoro wa nymba hiyo mara baada ya kubainika na baadhi ya Wananchi,waliokuwa wakikatiza mtaa huo kuelekea mtaa mwingine,Baadhi ya Mashudhua wa eneo hilo wameeleza kuwa mtu huyo si mkazi wa mtaa huo,
"Mtu huyo si Mkazi wa Eneo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV30 Oct
Mtu Mmoja mbaroni kwa kukutwa na Bastola 1, risasi 9
Polisi mkoani Tanga imemkamata mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Bashiru Hamis maarufu kama Hazari mwenye umri wa miaka 42 mkazi wa Ilala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kukutwa na Bastola 1 yenye namba C. 1193 na risasi 9 kwenye magazini.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Zuberi Mwombeji amesema mtuhumiwa huyo amekamatwa katika kijiji cha Tengwe wakati akielekea kufanya uhalifu kwenye vituo vya mafuta vilivyopo katika mji wa Mkata wilayani Handeni mkoani Tanga.
Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s72-c/100_1392%2Bcopy.jpg)
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UMA9RJ68-c/VJKfqPu6zwI/AAAAAAAAoq4/e4gt_7H3VVc/s1600/100_1392%2Bcopy.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s72-c/tt.jpg)
MAJAMBAZI YAUA BINTI MMOJA NA KUJERUHI MMOJA KATIKA TUKIO LA UPORAJI LILILOTOKEA LEO ASUBUHI YOMBO VITUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-r5zu7FzQ0A8/VG5A9a2Zk7I/AAAAAAAAc8A/kikHMlNSxIQ/s1600/tt.jpg)
Majambazi wawili waliokuwa na pikipiki wamuua Binti mmoja aliyefahamika kwa jina...
11 years ago
Michuzi17 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yNULcG2812o/VVSziYNkSoI/AAAAAAAHXUM/lEecZ3fAIYg/s72-c/image061.jpg)
Mtu Mmoja apoteza maisha kwa Mafuriko jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-yNULcG2812o/VVSziYNkSoI/AAAAAAAHXUM/lEecZ3fAIYg/s400/image061.jpg)
Tukio hili lilitokea tarehe 13/05/2015 majira ya saa nane kamili mchana huko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2MN-fR40TvA/VIsQimHJnPI/AAAAAAAG2t0/-PINyFVOVqo/s72-c/MMGM0878.jpg)
Mtu mmoja akutwa amekufa porini leo
Hali ya sintofahamu iliendelea kutanda katika eneo hilo huku kila alieweza kufika katika eneo hilo la tukio akiwa na mshangao wa kipi kilichomsibu mtu huyo mpaka kufikwa na mauti ya aina hiyo.
Akizungumza mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo ambaye...
11 years ago
Habarileo02 Mar
Tanganyika adaiwa kukutwa na risasi 9
POLISI mkoani Katavi inamshikilia mkazi wa Mtaa wa Mpanda Hotel mjini hapa , Eva Tanganyika ( 72 ) kwa tuhuma za kukutwa akimiliki isivyo halali risasi tisa za moto, zinazoweza kutumika katika silaha nzito aina za SAR na SMG.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
mtu mmoja anusurika katika ajali ya gari eneo la Kibele, Zanzibar, leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-mIlVPZOKt5w/VjYLCweuwSI/AAAAAAAID2A/qUnFjZjPcgU/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Feb
News alert: mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani singida leo