Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Basi la Lushanga laua mmoja na kujeruhi wawili Sengerema, Picha na habari ziko hapa!

 

DSC_0221

Kijana ambaye ni dereva wa toroli la miguu minne jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 32 amefariki dunia papo hapo na kupasuka Kichwa baada ya kugongwa na basi la abiria lililokuwa likitokea mkoa wa Geita kuelekea jijini Mwanza kwenye makutano ya barabara ya Kamanga na Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Kijana huyo pia alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa “Helmet” huenda ingemsaidia asipasuke Kichwa.(Picha na Zainul Mzige).

Na MOblog,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Basi laua wawili, kujeruhi 40

 Ajali ya ndege na nyingine ya basi, zimesababisha vifo vya watu wawili na wengine zaidi 50 kujeruhiwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Basi laua 17, kumi na mmoja watambuliwa

Watu 11 kati ya 17 waliofariki dunia papohapo katika ajali eneo la Pandambili wilayani Kongwa, Dodoma wametambuliwa na wanne kati yao tayari wamechukuliwa na ndugu zao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Basi la Kidia Express laua wawili Dodoma leo

1488854_701257736605560_2008511960432026935_n

Na Mwandishi wetu wa modewjiblog, Dodoma

Habari zilizotufikia kutoka Mkoani Dodoma: Basi la Kidia One  Express lagongana na lori na kudaiwa kusababisha vifo vya watu wawili huku likijeruhi abiria kadhaa. Taarifa hiyo ilieleza kuwa ajali hiyo iliyotokea leo majira ya saa Saba mchana.

Taarifa kutoka chanzo cha ajali hizo zilieleza kuwa, ajali hiyo imetokea maeneo ya Mbande, njia ya kuelekea Dodoma kutoka Morogoro, ambapo basi la abiria la Kidia Express, limegongana na lori.

Imeelezwa kuwa,...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA HOOD ILIYOUA MMOJA NA KUJERUHI 27 MKOANI MORO LEO

Wananchi wakilishuhudia basi la Hood baada ya kupinduka eneo la Melela-Mlandizi, Mvomero mkoani Morogoro. Gari hilo baada ya kupinduka.…

 

9 years ago

Mwananchi

Msaidizi wa IGP na familia yake wafa maji, basi laua wawili

Watu wanane akiwamo msaidizi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mkaguzi wa Polisi, Gerald Ryoba na familia yake wamekufa baada ya kusombwa na maji katika eneo la Kibaigwa wilayani Kongwa baada ya mvua kubwa iliyonyesha katika eneo hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Picha za tukio la kuuwawa kwa Fisi mjini Singida ziko hapa!

DSC01596

Baadhi ya askari polisi wakishiriki kumtoa Fisi ambaye alikuwa amejificha ndani ya duka la mitumba mjini Singida. DSC01597 Baadhi ya wananchi wa mji wa Singida wakishuhudia kutolewa nje Fisi aliyekuwa amejificha ndani ya duka la mitumba mjini Singida. DSC01600 Badhi ya wananchi wa mji wa Singida,wakishiriki kumuuawa Fisi aliyevamia mji wa Singida na kusababisha hofu kubwa kwa wakazi. DSC01604 Fisi aliyevamia Singida mjini, akiwa kwenye gari la polisi baada ya kushambuliwa na wananchi kwa silaha za...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZIKO HAPA WALIOJIACHIA KWENYE RED CARPET YA ZARI ALL WHITE PARTY TZ

Ng'ari ng'ari na umbo la kibantu ndiyo habari mjini, mjini umbo kijijini tabia.awa ndiyo waliung'arisha usiku wa white party ndani ya mlimani city.. Picha hizi ni kwa hisani ya DjChoka.
  

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI KAMILI KONTENA LALALIA BASI LAUA 42 LAJERUHI 23

Basi la Majinja likiwa limeangukiwa na kontena na kusababisha vifo katika eneo la Changalawe mafinga. Picha na Francis Godwin
Mufindi. Watu 42 wamepoteza maisha na wengine 23 kujeruhiwa baada ya lori la mizigo kugongana na basi na kontena lililokuwa limebebwa kuangukia gari hilo la abiria, katika ajali ya aina yake iliyotokea eneo la Mafinga Changalawe mkoani Iringa.Watu 37 waliokuwa kwenye basi hilo la kampuni ya Majinjah Express lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Dar es Salaam, walifariki...

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani