Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmoja auawa,tisa wajeruhiwa Tarime

MTU mmoja ameuawa na wengine tisa wamejeruhiwa vibaya baada ya wafuasi wanaosadikiwa kuwa ni wa vyama vya Chadema na CCM kupambana katika kata ya Nyanungu, wilaya ya Tarime mkoani Mara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mmoja afa, watano wajeruhiwa Tarime

Wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akiwasili mjini Tarime leo, mtu mmoja amekufa, saba wamejeruhiwa katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CCM na Chadema katika jimbo la Tarime Vijijini.

 

11 years ago

GPL

MMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO

Dereva wa basi la Zakaria Express, Mbaraka Shamsi (35) mkazi wa Magu akiwa hospitali baada ya ajali. Roberty Nashoni (48) ambaye…

 

11 years ago

Mwananchi

Tisa wafariki dunia, 10 wajeruhiwa

Watu tisa wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya basi dogo la abiria aina ya Toyota Coaster kugonga lori la mizigo aina ya Fiat, Iveco, lililokuwa limeegeshwa pembeni mwa Barabara ya Mwanza - Musoma.

 

9 years ago

StarTV

Askari mmoja afariki, watatu wajeruhiwa

Askari mmoja wa Jeshi la Polisi mkoani Singida amekufa papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa, baada ya gari ndogo ya jeshi hilo waliyokuwa wakisafiria kwenda doria kuacha njia na kupinduka.

Ajali hiyo imetokea jana Ijumaa majira ya saa tatu usiku wakati askari hao wa kituo kidogo cha Nduguti Wilaya ya Mkalama wakiwa njiani kwenda eneo la Iguguno barabara kuu ya Singida-Mwanza kufanya doria.

Akizungumza na waandishi wa habari Ofisini kwake, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida Kamishina...

 

10 years ago

Habarileo

Jambazi raia wa Kenya auawa Tarime

WATU wawili akiwemo mkazi wa kitongoji cha Nchoke katika Kijiji cha Kubiterere, Kata ya Mwema wilayani hapa, Mwikwabe Kirutu (30) wameuawa katika mapambano baina ya wananchi na majambazi waliokuwa na bunduki mbili za kivita kijijini hapo.

 

11 years ago

GPL

AJALI YAUA MMOJA TARIME

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Fatuma Juma (35), amefariki dunia huku wengine watano wakijeruhiwa baada ya basi la Zakaria Express lenye namba T 405 CLT lililokuwa likitoka Sirari kwenda Mwanza kuacha njia na kupinduka leo asubuhi huko Tarime mkoani Mara. Kwa mujibu wa shuhuda wa ajali hiyo, basi hilo lilikuwa likijaribu kukwepa lori pamoja na ng'ombe ndipo lilipoacha njia na kupinduka. Majeruhi wa ajali hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Bomu lalipuka Zanzibar,mmoja afa saba wajeruhiwa

Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Muhamed Khatib Mkombalaguha amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa vibaya baada ya kurushiwa bomu na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

StarTV

Ajali ya basi igunga Mtu mmoja afariki, 38 wajeruhiwa

 

Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 38 kujeruhiwa baada ya Basi la Allys Coach lenye namba za usajili T 560 AKM lililokuwa likitokea Igunga kuelekea Mwanza kuyumba na kuanguka katika kijiji cha Igogo kata ya Nanga wilayani Igunga Mkoani Tabora.

Ajali hiyo imetokea majira ya saa 12 na nusu asubuhi na chanzo chake kikidaiwa kuwa ni mwendo kasi wa dereva kutaka kulipita gari la mizigo.

Ajali hizi zimekuwa zikigharimu maisha ya watu na wengine kuwaachia ulemavu wa kudumu,sababu zikielezwa ni...

 

10 years ago

StarTV

Mtu mmoja afariki, wengine 21 wajeruhiwa katika ajali Singida

 Na Emmanuel Michael, Singida.

MTU mmoja amefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Kosta walilokuwa wakisafiria kutoka Shinyanga kwenye harusi kurejea nyumbani Morogogo kupinduka mkoani Singida.

 

Ni wakati wa mwingine ambapo mkoa wa Singida umejawa na simanzi na huzuni baada ya kushuhudia mtu mmoja aliyepoteza maisha na wengi 21 wakilazwa kwa matibabu kutokana na ajali ya barabarani.

 

Mkuu wa Wilaya ya Singida Queen Mlozi ni miongoni mwa viongozi wa kwanza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani