Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari kwa waraibu wa Internet

Kijana mmoja mwenye mienendo ya kustaajabisha nchini Uingereza, alipiga simu kwa polisi baada ya kumchinja mwenzake mwenye umri wa miaka 14 ambaye walifahamiana tu kupitia mtandao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Ykileo

TAHADHARI: WATUMIAJI WA "INTERNET EXPLORER" WAKO HATARINI KIUSALAMA MTANDAO

Mwishoni mwa juma pamegundulika hali mbaya ya kiusalama mtandao itakayo waathiri watumiaji wa kivinjari kijulikanacho kama "internet explorer" ambapo watumiaji wa kivinjari hicho wako hatarini kuweza kuingiliwa kirahisi computer zao na wahalifu mtandao.

Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la sita (6)  hadi la kumi na moja (11) yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waraibu wa mihadarati watoroka matibabu

Takriban watumiaji 400 mihadarati wametoroka kutoka katika kituo cha waathiriwa wa dawa za kulevya Kaskazini ya Vietnam

 

11 years ago

BBCSwahili

Papa:Internet ni zawadi kutoka kwa Mungu

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa Internet ni zawadi kwa dunia nzima kutoka kwa Mungu lakini ametoa tahadhari

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa madereva kona za Iyovi ni kali sana, endesha kwa umakini kuepusha ajali

 Wewe  ni  dereva  wa basi la abiria ama  gari  binafsi ?hebu  chukua  hatua ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni  dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani.

 Vema  kuheshimu alama  za barabarani na  kuacha mbwembwe  uwapo  barabarani katika kona kali kama hizi.

 Katika kona kama hizi zingatia  alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele.

Kulipita gari la ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa wanawake kwa mtu huyu!

DSCN9777 (1)

Pichani Malaria akiwa amejipumzisha kwenye kibaraza cha maeneo ya ofisi za Idara ya Habari Maelezo kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Hali ya sintofahamu juu ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Malaria’,  imezidi kuwa kero kwa baadhi ya watu ikiwemo wanawake kwa mtu huyo kuwafanyia vitendo vya kidhalilishaji  kwa kuwashika sehemu  nyeti, na baada ya hapo kukimbia ama humtisha kwa lengo la kutaka kumpiga aliyemfanyia kitendo hicho.

Kwa siku kadhaa,...

 

10 years ago

Bongo Movies

JE Kajala Ame-Break The Internet Kwa Picha Hizi?!!!

Leo ikiwa ni siku ya mapumziko, tusherekea miaka 53 ya uhuru wa Tanganyika ambayo iliungana na Zanzibar na sasa inaitwa Tanzania, akionekana mwenye furaha kwa tabasamu na pozi mbalimbali maeneo ya ufukweni , Kajala Masanja  ambae ni muigizaji na mkurugenzi wa K entertainments, aliziweka picha zake hizi mtandaoni na kuandika “Wee unaniona hapa me najiona mbaaaaali” akiashilia kuwa mwenye furaha na amani tele.

Kilichofanya nizilete hapa ni likes na  comments za  ‘Followers’ wake ambao kwa kwa...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA

Habari na picha na Editha Karlo, wa Globu ya Jamii Kigoma

MTU mmoja ambaye ni raia kutoka nchi ya Burundi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Kigoma  kwa ugonjwa usiojulikana. 
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni  kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...

 

10 years ago

Bongo5

Lulu anajaribu ‘kubreak the Internet’ kibongobongo kwa picha hizi

Elizabeth ‘Lulu’ Michael anajiribu kufanya kile alichofanya Kim Kardashian ‘Break the Internet’ katika level ya kibongo. Hata hivyo tofauti na Kim, Lulu hajaonesha umbo lake kama lilivyo japo picha zimewavutia wengi. Jionee.

 

10 years ago

Vijimambo

TAHADHARI KWA WAHUSIKA


Kampuni ya Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Wataalam wote

Tahadhari kwa wafanyakazi wote

Tahadhari kwa Mr. Rajen Kilachand, Mwenyekiti wa Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Dr. Jogendra Nath Sahu; Dodsal Group Dar es Salaam

Kampuni ya Milembe Co. Ltd

Kwa yeyote anayejijua anahusika moja kwa moja au kusaidia.


Jina langu ni Askofu Charles Gadi, Mtumishi wa Mungu aliye Hai.


Kwa maovu yenu, natangaza kuwa ninyi wenyewe mmenifanya Mungu wenu na kwamba uovu wenu huu mlioufanya kwenye shamba langu sitahitaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani