Tahadhari kwa waraibu wa Internet
Kijana mmoja mwenye mienendo ya kustaajabisha nchini Uingereza, alipiga simu kwa polisi baada ya kumchinja mwenzake mwenye umri wa miaka 14 ambaye walifahamiana tu kupitia mtandao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-TFbMorHU4_c/U19FZkNtAlI/AAAAAAAAAdA/uaAaJBOAIC0/s72-c/images.jpg)
TAHADHARI: WATUMIAJI WA "INTERNET EXPLORER" WAKO HATARINI KIUSALAMA MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-TFbMorHU4_c/U19FZkNtAlI/AAAAAAAAAdA/uaAaJBOAIC0/s1600/images.jpg)
Jumamosi tangazo hilo linalosomeka hapa "TANGAZO" limeweza kubainisha internet explorer toleo la sita (6) hadi la kumi na moja (11) yote yameweza kugundulika yanatoa mwanya kwa wahalifu mtandao kupenya kwa watumiaji na kuchukua taarifa...
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Waraibu wa mihadarati watoroka matibabu
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Papa:Internet ni zawadi kutoka kwa Mungu
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Tahadhari kwa madereva kona za Iyovi ni kali sana, endesha kwa umakini kuepusha ajali
Wewe ni dereva wa basi la abiria ama gari binafsi ?hebu chukua hatua ya kupunguza ajali leo kwa kujihadhari na kona hizi na Iyovi na Kitonga na kona nyingine kali kama hizi nchini kwani maisha yako ni dhamani kubwa na uhai wake bado tunautamani.
Vema kuheshimu alama za barabarani na kuacha mbwembwe uwapo barabarani katika kona kali kama hizi.
Katika kona kama hizi zingatia alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele.
Kulipita gari la ...
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
Tahadhari kwa wanawake kwa mtu huyu!
Pichani Malaria akiwa amejipumzisha kwenye kibaraza cha maeneo ya ofisi za Idara ya Habari Maelezo kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Hali ya sintofahamu juu ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Malaria’, imezidi kuwa kero kwa baadhi ya watu ikiwemo wanawake kwa mtu huyo kuwafanyia vitendo vya kidhalilishaji kwa kuwashika sehemu nyeti, na baada ya hapo kukimbia ama humtisha kwa lengo la kutaka kumpiga aliyemfanyia kitendo hicho.
Kwa siku kadhaa,...
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
JE Kajala Ame-Break The Internet Kwa Picha Hizi?!!!
Leo ikiwa ni siku ya mapumziko, tusherekea miaka 53 ya uhuru wa Tanganyika ambayo iliungana na Zanzibar na sasa inaitwa Tanzania, akionekana mwenye furaha kwa tabasamu na pozi mbalimbali maeneo ya ufukweni , Kajala Masanja ambae ni muigizaji na mkurugenzi wa K entertainments, aliziweka picha zake hizi mtandaoni na kuandika “Wee unaniona hapa me najiona mbaaaaali” akiashilia kuwa mwenye furaha na amani tele.
Kilichofanya nizilete hapa ni likes na comments za ‘Followers’ wake ambao kwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
10 years ago
Bongo507 Jan
Lulu anajaribu ‘kubreak the Internet’ kibongobongo kwa picha hizi
10 years ago
VijimamboTAHADHARI KWA WAHUSIKA
Kampuni ya Dodsal Group DubaiTahadhari kwa Wataalam woteTahadhari kwa wafanyakazi woteTahadhari kwa Mr. Rajen Kilachand, Mwenyekiti wa Dodsal Group DubaiTahadhari kwa Dr. Jogendra Nath Sahu; Dodsal Group Dar es SalaamKampuni ya Milembe Co. LtdKwa yeyote anayejijua anahusika moja kwa moja au kusaidia.
Jina langu ni Askofu Charles Gadi, Mtumishi wa Mungu aliye Hai.
Kwa maovu yenu, natangaza kuwa ninyi wenyewe mmenifanya Mungu wenu na kwamba uovu wenu huu mlioufanya kwenye shamba langu sitahitaji...