Tahadhari kwa wanaume Kenya
Wanaume wanaowatelekeza watoto wao wakati wenyewe wana kazi za kuwawzesha kukimu maisha yao wawe macho maana wameanza kuanikwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Tahadhari Kenya wakati wa Ramadhani
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Tahadhari ya njaa yatolewa Kenya
10 years ago
StarTV30 Sep
Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.
Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s72-c/black-man-suit-smiling.jpg)
Wanaume “vicheko” Kenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s400/black-man-suit-smiling.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Je wanaume watasusia ngono Kenya?
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Wanaume wakimbia tohara Kenya
10 years ago
Mwananchi19 May
Wakodi wanaume kutoka Kenya
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Victoria: Sina mpango na wanaume wa Kenya
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Victoria Kimani, amesema hana mpango wa kuolewa na wanaume wa nchini Kenya kwa kuwa hawajui kukaa na wapenzi wao.
Mrembo huyo amesema wanaume wengi wa nchini humo wamekuwa tofauti na wale wa nchini Nigeria, hivyo ni bora aelekee huko kwa ajili ya kupata mwanaume bora ambaye atadumu naye.
Msanii huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri katika muziki mara baada ya kusaini mkataba mpya katika kampuni ya kusimamia kazi zake ijulikanayo kwa jina la...