Je wanaume watasusia ngono Kenya?
Wanaume nchini Kenya wameelezea hisia mseto kuhusu wito wa kiongozi wa shirika la maendeleo la wanaume nchini humo kwamba wasusie tendo la ndoa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Wanaume zaidi ya mmoja hulipia ngono UK
Zaidi ya mwanaume mmoja kati ya 10 wanaelezwa kulipia vitendo vya ngono, utafiti kuhusu tabia za ngono nchini Uingereza.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
10 years ago
Habarileo23 Aug
Wanaume waeleza kwa nini wananunua ngono
PAMOJA na kuelezwa kuwa wanaume wanaofuata makahaba wanafanya hivyo kwa uroho, utafiti uliofanywa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) unaonesha sababu tofauti za wanaume kuamua kununua ngono.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
'Nipe Samaki nikupe Ngono,' Kenya
Wanawake katika ufuo wa Ziwa Victoria, wanauza miili yao kwa matumaini kuwa wataeleka nyumbani na Samaki wengi.
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nipe nikupe ya Samaki na Ngono Kenya
Wavuvi vijijini huwapa wauza samaki wanawake samaki kama malipo kwa kufanya nao ngono badala ya pesa.
11 years ago
BBCSwahili15 May
Utalii wa Ngono wanawiri Malindi Kenya
Mji wa Malindi ni kama paradiso. Hata hivyo mji huu ni kitovu kilichojificha cha biashara ya ngono ya watoto .
11 years ago
BBCSwahili15 May
Onyo kwa wanaotuma ujumbe wa ngono Kenya
Kumtumia mtu ujumbe wenye picha za watu walio uchi au zenye ujumbe wa kingono nchini Kenya kutakuweka mashakani kiasi cha kufungwa jela
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s72-c/black-man-suit-smiling.jpg)
Wanaume “vicheko” Kenya
![](http://3.bp.blogspot.com/-X1Qwg2FhSBk/VVixxxmRMVI/AAAAAAAACH8/j5_TDZx7jug/s400/black-man-suit-smiling.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania