Wanaume waeleza kwa nini wananunua ngono
PAMOJA na kuelezwa kuwa wanaume wanaofuata makahaba wanafanya hivyo kwa uroho, utafiti uliofanywa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) unaonesha sababu tofauti za wanaume kuamua kununua ngono.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Je wanaume watasusia ngono Kenya?
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Wanaume zaidi ya mmoja hulipia ngono UK
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ubalozi wa Marekani waeleza kusikitishwa kwa kukamatwa kwa wapinzani na kufungiwa gazeti Tanzania
9 years ago
Bongo528 Aug
Yamoto Band waeleza sababu ya kuchelewa kutoka kwa video waliyofanya na God Father
11 years ago
Habarileo13 Jun
Tuhuma za kutibu kwa ngono zipo kwa mwanasheria
JALADA la kesi ya waganga wa jadi wawili wanaotuhumiwa kubaka baada ya kutoa tiba kwa wanawake ili wapate watoto, kwa masharti ya kushiriki nao ngono bila kinga, limepelekwa kwa Mwanasheria wa Kanda wa Serikali kwa hatua zaidi.
5 years ago
MichuziWAKULIMA MAZAO YA VIUNGO WATOA OMBI KWA SERIKALI , SAT WAELEZA WANAVYOSAIDIA KUTAFUTA SOKO LA UHAKIKA
Baadhi ya wakulima wa kilimo hai mkoani Morogoro wakiwa katika moja ya mkutano wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu kilimo hicho ambapo wametumia nafasi hiyo kutoa ombi kwa Serikali kuanzisha bodi ambayo itahusika kusimamia mazao ya kilimo hai yakiwemo mazao ya viungo ambayo yamekuwa yakilimwa na baadhi ya wakulima ambao wako chini ya mradi wa unaosimamiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT).
Mkurugenzi Mtendaji wa SAT Janeth Maro akifafanua jambo kwa waandishi wa...
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!
Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.
“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
Kahawa yakipekee kwa ngono