Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume waeleza kwa nini wananunua ngono

PAMOJA na kuelezwa kuwa wanaume wanaofuata makahaba wanafanya hivyo kwa uroho, utafiti uliofanywa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) unaonesha sababu tofauti za wanaume kuamua kununua ngono.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake

Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je wanaume watasusia ngono Kenya?

Wanaume nchini Kenya wameelezea hisia mseto kuhusu wito wa kiongozi wa shirika la maendeleo la wanaume nchini humo kwamba wasusie tendo la ndoa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume zaidi ya mmoja hulipia ngono UK

Zaidi ya mwanaume mmoja kati ya 10 wanaelezwa kulipia vitendo vya ngono, utafiti kuhusu tabia za ngono nchini Uingereza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ubalozi wa Marekani waeleza kusikitishwa kwa kukamatwa kwa wapinzani na kufungiwa gazeti Tanzania

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa tamko la kusikitishwa na walichokiita hatua za serikali ya Tanzania kuminya demokrasia.

 

9 years ago

Bongo5

Yamoto Band waeleza sababu ya kuchelewa kutoka kwa video waliyofanya na God Father

Yamoto Band wamesema walikabidhiwa video ya wimbo wake Cheza Kimadoido na muongozaji wa Afrika Kusini Godfather lakini waliomba ifanyiwe marekebisho kadhaa ndio maana imechelewa kutoka. Akizungumza na Clouds E ya Clouds TV, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Maromboso amesema kwa sasa video hiyo imekamilika. “Video ilikuja mara ya kwanza lakini tukasema hapana mbona […]

 

11 years ago

Habarileo

Tuhuma za kutibu kwa ngono zipo kwa mwanasheria

JALADA la kesi ya waganga wa jadi wawili wanaotuhumiwa kubaka baada ya kutoa tiba kwa wanawake ili wapate watoto, kwa masharti ya kushiriki nao ngono bila kinga, limepelekwa kwa Mwanasheria wa Kanda wa Serikali kwa hatua zaidi.

 

5 years ago

Michuzi

WAKULIMA MAZAO YA VIUNGO WATOA OMBI KWA SERIKALI , SAT WAELEZA WANAVYOSAIDIA KUTAFUTA SOKO LA UHAKIKA


Baadhi ya wakulima wa kilimo hai mkoani Morogoro wakiwa katika moja ya mkutano wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu kilimo hicho ambapo wametumia nafasi hiyo kutoa ombi kwa Serikali kuanzisha bodi ambayo itahusika kusimamia mazao ya kilimo hai yakiwemo mazao ya viungo ambayo yamekuwa yakilimwa na baadhi ya wakulima ambao wako chini ya mradi wa unaosimamiwa na Shirika la Kilimo Endelevu Tanzania(SAT).
Mkurugenzi Mtendaji wa SAT Janeth Maro akifafanua jambo kwa waandishi wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!

Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.

“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kahawa yakipekee kwa ngono

Je una tatizo la kupungukiwa na nguvu za kiume? kahawa yenye vijimambo ndani yake yaweza kuwa tiba yako, wanaume kwa wanawake nchini Zimabwe inawalindia heshma kwa wapenzi na ndoa zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani