Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!
Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.
“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4U3bVJPRu9bf*D50Hiji7Fkrry8vL5fw8VKcmb398oLggbr6SxM*1VG-uf3vLc8Y5PLGDv*e0UsqpvB6Q-Jt0e/22.jpg?width=650)
ISABELA: MASTAA WA KIKE BONGO WANAISHI KWA KUUZA MIILI YAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8POorx1CJ3YTlCkXbJWBGTqDCdqMnh3wgls64uJmrB9FP*pm7BzxV-4Ks9ZddJXTEZLWyjuZ72sAUZUh7kTsEz/ISABELA.jpg)
JINI KABULA, ISABELA WAMALIZA BIFU
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Exclusive: Mastaa Bongo wanaojiamini hadi ‘kujiachia’ miili yao hawa hapa!
Wasanii Ney wa Mitego (kushoto) na Diamond Platinumz (kulia
Na Andrew Chale wa Modewji Blog
Kwa muda mrefu sasa huenda nawe umepata kushuhudia baadhi ya mastaa wa Bongo pamoja na watu maalufu wakiwa kwenye kurasa mbalimbaali za magazeti na majarida, mitandao ya kijamii na mabagno ya matangazoa wakiwa katika muonekano tofauti hasa katika kuonesha miili yao kiuhalisia.
Mastaa hao pia tunawashuhudia kwenye video zao iwe filamu, muziki na matangazo, wakionyesha sehemu za maumbilie yao kama...
10 years ago
Mtanzania29 Apr
Jini Kabula: Asitafutwe mchawi anguko la filamu Bongo
NA GEORGE KAYALA, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Mariam Jolwa ‘Jini Kabula’ amesema kuwa anguko la soko la filamu za Bongo asitafutwe mchawi, kwani wasanii wengi wanaigiza chini ya kiwango na ndiyo maana kazi zao hazifanyi vizuri, licha ya kutumia gharama kubwa kuziandaa.
Akizungumza na MTANZANIA Dar es Salaam jana, Jini Kabula alisema kuwa ni filamu chache zinazofanya vizuri sokoni, ikiwemo ya Chozi la Wanjaa iliyochezwa na Aunt Ezekiel, Kulwa Kikumbi ‘Dude’ na wasanii wengine...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZm*-C1VN*rtNtDpKmRo58c2Txx*-3czxo0Pjcp-bQ4NHwsQWy5iLeEkPus9Hh4OHNTJfWEo4YYtS8hsRHRmuur/Kajala2......png?width=650)
MAJUTO: MASTAA WA KIKE WAMENIGEUZA BABU YAO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbXU50A13dSQdEm2LGNZTJKN96vkB4PaLimqtRR0wlpBNXmZkJCiwakzDcSsbGwbCMqQ2hEYT4Fx-PBGL8adu*W9/barua.jpg)
MASTAA WA KIKE BONGO MOVIES MTAIGIZA MAISHA YENU HADI LINI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkY48Hq9C4Enymn9a2RPRC1qpbVttMjh*QUJXGBigDsqQ-c23HYwaCDpaJnd3cJIBvYzm*VhJbEamkpgrBeF4wU/Picture146.jpg?width=650)
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*uTMXPV5v*XoLekZsm5zUNfyWPTNbe7l6TSrWcYrDt90*4u6KUmlcbn6gde7yNOwrNedT15I9M8HSO4d*6a54Z/Bushoke.jpg)
JINI KABULA, BUSHOKE WAMWAGANA