Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utalii wa Ngono wanawiri Malindi Kenya

Mji wa Malindi ni kama paradiso. Hata hivyo mji huu ni kitovu kilichojificha cha biashara ya ngono ya watoto .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Ujumbe wa watu watano kutoka Makumbushoya Utamaduni, Malindi Kenya watembelea Sauti za Busara

Ujumbe wa watu watano kutoka Makumbusho ya Utamaduni, Malindi Kenya ukiongozwa na kiongozi wao, Ghazzal Swaleh, jana walitembelea Ofisi ya Sauti za Busara, mjini Zanzibar, kujifunza mbinu za kuinua vipaji vya wasanii wa utamaduni wa kiafrika baina ya Zanzibar na Kenya, kuona mafanikio ya Tamasha la Utamaduni la Sauti za Busara Zanzibar na kudumisha mahusiano mema baina ya Zanzibar na Kenya. Ujumbe huo ulifanya mazungumzo kwa kubadilishana mawazo na Viongozi wa Sauti za Busara. Waziri...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je wanaume watasusia ngono Kenya?

Wanaume nchini Kenya wameelezea hisia mseto kuhusu wito wa kiongozi wa shirika la maendeleo la wanaume nchini humo kwamba wasusie tendo la ndoa

 

11 years ago

BBCSwahili

Nipe nikupe ya Samaki na Ngono Kenya

Wavuvi vijijini huwapa wauza samaki wanawake samaki kama malipo kwa kufanya nao ngono badala ya pesa.

 

11 years ago

BBCSwahili

'Nipe Samaki nikupe Ngono,' Kenya

Wanawake katika ufuo wa Ziwa Victoria, wanauza miili yao kwa matumaini kuwa wataeleka nyumbani na Samaki wengi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa wanaotuma ujumbe wa ngono Kenya

Kumtumia mtu ujumbe wenye picha za watu walio uchi au zenye ujumbe wa kingono nchini Kenya kutakuweka mashakani kiasi cha kufungwa jela

 

9 years ago

Mtanzania

Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.

Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.

Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...

 

9 years ago

Vijimambo

KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...

 

11 years ago

Ykileo

WANAOTUMA JUMBE ZA NGONO KUPITIA SIMU KUFUNGWA JELA NCHINI KENYA

Kwa mujibu wa tovuti ya "BBC SWAHILI"  Serikali ya Kenya imesema watu watakaopatikana na hatia ya kutuma ujumbe wa kingono kwa kutumia simu za kiganjani na intaneti watafungwa Jela.
Adhabu hiyo itawahusu wale wanaotuma ujumbe wenye picha za watu walio uchi na zenye mada ya ngono nchini humo.

Maafisa wakuu wa serikali wanasema kuwa yeyote atakayepatikana na hatia atafungwa jela kifungo cha miezi mitatu kwenda chini.


Afisa mkuu kutoka tume ya mawasiliano ya Kenya , Christopher Wambua,...

 

11 years ago

GPL

MAKAHABA WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA KUKOMESHA UNYANYASAJI DHIDI YA WAFANYABIASHARA YA NGONO KENYA

LEO ni Siku ya Kimataifa Kukomesha Unyanyasaji Dhidi ya Wafanyabiashara ya Ngono Duniani. Nchini Kenya wafanyabiashara ya ngono walijumuika kwa pamoja na kufanya maandamano ya amani jijini Nairobi na Kisumu na kuitaka serikali ishughulikie matatizo yanayowakabili na kutaka kazi yao itambulike rasmi kama kazi nyenginezo. (VIDEO: KTN)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani