Ujumbe wa watu watano kutoka Makumbushoya Utamaduni, Malindi Kenya watembelea Sauti za Busara
Ujumbe wa watu watano kutoka Makumbusho ya Utamaduni, Malindi Kenya ukiongozwa na kiongozi wao, Ghazzal Swaleh, jana walitembelea Ofisi ya Sauti za Busara, mjini Zanzibar, kujifunza mbinu za kuinua vipaji vya wasanii wa utamaduni wa kiafrika baina ya Zanzibar na Kenya, kuona mafanikio ya Tamasha la Utamaduni la Sauti za Busara Zanzibar na kudumisha mahusiano mema baina ya Zanzibar na Kenya. Ujumbe huo ulifanya mazungumzo kwa kubadilishana mawazo na Viongozi wa Sauti za Busara.
Waziri...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Nov
Ujumbe wa wawekezaji kutoka Ubelgiji watembelea NHC
Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Diodorus Kamala aliyeongoza jopo la wadau wa sekta ya usafirishaji na wafanyabiashara waliotembelea nchini kuanzia Novemba 22- 29 akizungumza kwenye Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) leo asubuhi, kulia kwake ni Meneja wa Kampuni ya Ujenzi ya BS Solutions. Jopo hilo liko nchini kuangalia fursa za uwekezaji nchini. Ujumbe huo ulitoa mada kuhusu ujenzi wa nyumba kwa kutumia teknolojia rahisi ya kuunganisha na mabati maalumu ambao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMT5GABGKaBZj4JMDhYJrIcKG74ljtOxqILDxNLKJCXKgS6zJ1lMX0S1taTAteW0dHwWykeQNxEAHkpYpPiI6Gfy/unnamed22.jpg?width=650)
WAGENI KUTOKA NANJING CHINA WATEMBELEA OFISI ZA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pG4pAyml9_I/VHlv8txeYPI/AAAAAAAG0Fw/lDLEQxRgI04/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
Wageni kutoka Nanjing China watembelea Ofisi za Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-pG4pAyml9_I/VHlv8txeYPI/AAAAAAAG0Fw/lDLEQxRgI04/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JvjucgQRNLc/VHlv9BcSiMI/AAAAAAAG0F0/k8oCJyVYS0U/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
10 years ago
VijimamboUjumbe wa Maafisa Waandamizi kutoka Nigeria watembelea Wizara ya Mambo
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Wafanyakazi Wizara ya Habari watembelea Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China Upanga jijini Dar es Salaam
Watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiongozwa na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko (Mwenye shati la batiki) wakiangalia baadhi ya vitabu katika maktaba ya Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China kilichopo Upanga jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakijisajili kwa ajili ya Kozi fupi za Lugha ya Kichina inayotolewa na Kituo cha Utamaduni wa Watu wa China kilichopo Upanga jijini...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CFHKBfCwZDo/VjF5KUwzZJI/AAAAAAAIDTs/WzwALMNBtlc/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
Ujumbe kutoka nchi za maziwa makuu wamtembelea katibu mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CFHKBfCwZDo/VjF5KUwzZJI/AAAAAAAIDTs/WzwALMNBtlc/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sehPEip0RsI/VZMAQ8xB2EI/AAAAAAAHmBI/Fyi3g8UQd-4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZanMv-ZIrpY/U1fR4Ac40bI/AAAAAAAFceU/fgzBCqhqIX0/s72-c/image.jpeg)
UJUMBE KUTOKA NCHI WANACHAMA WA SADC UNAOSHUGHULIKA NA MAFUNZO YA UANGALIZI WA AMANI KIMATAIFA WATEMBELEA MAKAO MAKUU YA JESHI LA MAGEREZA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZanMv-ZIrpY/U1fR4Ac40bI/AAAAAAAFceU/fgzBCqhqIX0/s1600/image.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-75sr3Rb_j9M/U1fR7x4t6ZI/AAAAAAAFcec/067InqZd0hg/s1600/image_1.jpeg)
10 years ago
Vijimambo31 Mar
Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje