Onyo kwa wanaotuma ujumbe wa ngono Kenya
Kumtumia mtu ujumbe wenye picha za watu walio uchi au zenye ujumbe wa kingono nchini Kenya kutakuweka mashakani kiasi cha kufungwa jela
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-zDGdzXASjGs/U3sVzygzP9I/AAAAAAAAAgs/vfjDOdjiu2g/s72-c/12345.jpg)
WANAOTUMA JUMBE ZA NGONO KUPITIA SIMU KUFUNGWA JELA NCHINI KENYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zDGdzXASjGs/U3sVzygzP9I/AAAAAAAAAgs/vfjDOdjiu2g/s1600/12345.jpg)
Adhabu hiyo itawahusu wale wanaotuma ujumbe wenye picha za watu walio uchi na zenye mada ya ngono nchini humo. Maafisa wakuu wa serikali wanasema kuwa yeyote atakayepatikana na hatia atafungwa jela kifungo cha miezi mitatu kwenda chini.
Afisa mkuu kutoka tume ya mawasiliano ya Kenya , Christopher Wambua,...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
ICC yatoa onyo kwa serikali ya Kenya
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Onyo kwa wanaowavua wanawake nguo Kenya
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Je wanaume watasusia ngono Kenya?
11 years ago
BBCSwahili15 May
Utalii wa Ngono wanawiri Malindi Kenya
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
'Nipe Samaki nikupe Ngono,' Kenya
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Nipe nikupe ya Samaki na Ngono Kenya