Onyo kwa wanaowavua wanawake nguo Kenya
Polisi nchini Kenya wametangaza kuanzisha kikosi maalum ya kuwasaka wanaume watakaohusika na vitendo vya kuwavua wanawake nguo hadharani.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 May
Onyo kwa wanaotuma ujumbe wa ngono Kenya
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
ICC yatoa onyo kwa serikali ya Kenya
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Washambuliwa kwa kuvaa nguo fupi Kenya
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Matatani kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
100 wakamatwa kwa kumvua nguo mwanamke Kenya
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO
Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.
Kamanda Kiondo...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Wanawake wanaovaa nguo nyekundu huvutia
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!
![Mroki-Mporojost](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/Mroki-Mporojost.jpg)
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.
Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Wapinga 'kuvuliwa' nguo Kenya