Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.
Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJC5ohzoeoFXQNLxKzq9KpIEmF57ZHB04aLlIq*2kRr9uO-mjYiq0ED3MiqvbNk0t0lgbL19JKFjcVmuSbPHhR8T/MFUNGWA1.jpg)
WAFUNGWA WALIVYOZUA TIMBWILI NA KUVUA NGUO ARUSHA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dO2wr1T_l4M/default.jpg)
GENOVEVA ANONMA ALILAZIMISHWA KUVUA NGUO NA KUKAGULIWA JINSIA YAKE
Viongozi wa timu za Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walidhani Genoveva Anonma ni mwanaume. Jitiririshe chini akiwa uwanjani kwenye soma zaidi
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Anonma-Genoveva-7151.jpg?resize=1024%2C768)
Kashfa hii ilianzishw akwenye muichuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa kina mama ambapo viongozi wa Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walizusha hoja kuwa wachezjai watatu wa Equatorial Guinea ni wanaume na si wanawake . Credit:MillardAyo.com
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Je kuvua nguo zote unapoingia nyumbani na kusafisha vyakula ulivyonunua kunasaidia kukabiliana na virusi hivi?
9 years ago
Habarileo22 Sep
Yanga: Imetosha sasa
KATIBU Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha amesema wanataka kuvunja rekodi ya Simba kwa kushinda mchezo ujao wa ligi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
TAHARIRI YA MO DEWJI BLOG: Watanzania tuwe na huruma! Imetosha sasa
Mwandishi Andrew Chale wa MO DEWJI BLOG akiwa na baadhi ya watoto wenye albinism.
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Miongoni mwa taarifa ambazo mtandao huu wa habari wa Mo dewji blog, ilizozipata usiku wa jana Machi 8, ambapo taarifa hiyo iliyosomeka katika kiunganishi cha link hii: http://dewjiblog.com/2015/03/08/breaking-news-ukatili-tena-mtoto-mwingine-mwenye-albinism-mama-mtu-ajeruhiwa-vibaya/
Habari hii Inasikitisha na ni kitendo cha aibu katika Taifa kama Tanzania ambalo huko nje...
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Wanawake wanaovaa nguo nyekundu huvutia
10 years ago
BBCSwahili27 Nov
Onyo kwa wanaowavua wanawake nguo Kenya