TAHARIRI YA MO DEWJI BLOG: Watanzania tuwe na huruma! Imetosha sasa
Mwandishi Andrew Chale wa MO DEWJI BLOG akiwa na baadhi ya watoto wenye albinism.
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Miongoni mwa taarifa ambazo mtandao huu wa habari wa Mo dewji blog, ilizozipata usiku wa jana Machi 8, ambapo taarifa hiyo iliyosomeka katika kiunganishi cha link hii: http://dewjiblog.com/2015/03/08/breaking-news-ukatili-tena-mtoto-mwingine-mwenye-albinism-mama-mtu-ajeruhiwa-vibaya/
Habari hii Inasikitisha na ni kitendo cha aibu katika Taifa kama Tanzania ambalo huko nje...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
TAHARIRI YA MO DEWJI BLOG: Juhudi hizi za Waziri Mkuu Pinda kusaidia shule aliyosomea ziungwe mkono
Pichani juu na chini ni baadhi ya majengo yaliyokamilika ya Shule ya msingi Kakuni yaliyojengwa na Waziri Mkuu Pinda kupitia michango ya wadau wa maendeleo.
Na Andrew Chale wa modewji blog
Kila mmoja wetu anatambua mchango mkubwa wa elimu hasa ile inayotolewa ikiwemo ngazi ya Awali, Msingi, Sekondari na elimu ya juu ikiwemo chuo. Pia katika hilo ni jamb la msingi sana na la maana hasa unapokumbuka mahala ulipopatia elimu husika.
Mtandao huu wa Mo dewjii blog tunapenda kuungana na...
10 years ago
Vijimambo24 Mar
WATANZANIA LAZIMA TUWE MAKINI NA MATAJIRI WA NCHI HII KWA MUSTAKABALI WA TAIFA LETU NA USTAWI WA WATANZANIA MASKINI
![](https://www.rafikifoundation.org/CMS/Images/tanzaniamap.png)
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Watanzania tuwe watulivu kuyapokea matokeo
9 years ago
Mwananchi24 Aug
VIONJO VYA WIKI: Kampeni zimeanza, Watanzania tuwe makini
9 years ago
Habarileo22 Sep
Yanga: Imetosha sasa
KATIBU Mkuu wa Yanga, Dk Jonas Tiboroha amesema wanataka kuvunja rekodi ya Simba kwa kushinda mchezo ujao wa ligi utakaochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
UCHAGUZI SIMBA: Wambura: Sasa imetosha basi
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!
![Mroki-Mporojost](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/Mroki-Mporojost.jpg)
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.
Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Dewji sasa bilionea kijana Afrika
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2642142/highRes/958679/-/maxw/600/-/vxkdpiz/-/dewji.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-svKbTDuk1pk/U2dMpi1cn1I/AAAAAAAFflY/k7YvchvA_5M/s1600/unnamed+(1).png)