TAHARIRI YA MO DEWJI BLOG: Juhudi hizi za Waziri Mkuu Pinda kusaidia shule aliyosomea ziungwe mkono
Pichani juu na chini ni baadhi ya majengo yaliyokamilika ya Shule ya msingi Kakuni yaliyojengwa na Waziri Mkuu Pinda kupitia michango ya wadau wa maendeleo.
Na Andrew Chale wa modewji blog
Kila mmoja wetu anatambua mchango mkubwa wa elimu hasa ile inayotolewa ikiwemo ngazi ya Awali, Msingi, Sekondari na elimu ya juu ikiwemo chuo. Pia katika hilo ni jamb la msingi sana na la maana hasa unapokumbuka mahala ulipopatia elimu husika.
Mtandao huu wa Mo dewjii blog tunapenda kuungana na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Mar
JUHUDI HIZI ZA WAZIRI MKUU PINDA KUSAIDIA SHULE ALIYOSOMEA ZIUNGWE MKONO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fdewjiblog.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F03%2Fphoto-4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Andrew Chale wa modewji blog
Kila mmoja wetu anatambua mchango mkubwa wa elimu hasa ile inayotolewa ikiwemo ngazi ya Awali, Msingi, Sekondari na elimu ya juu ikiwemo chuo. Pia katika hilo ni jamb la msingi sana na la maana hasa unapokumbuka mahala ulipopatia elimu husika.
Mtandao huu wa Mo dewjii blog tunapenda kuungana na kumpongeza...
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
TAHARIRI YA MO DEWJI BLOG: Watanzania tuwe na huruma! Imetosha sasa
Mwandishi Andrew Chale wa MO DEWJI BLOG akiwa na baadhi ya watoto wenye albinism.
Na Andrew Chale wa modewjiblog
Miongoni mwa taarifa ambazo mtandao huu wa habari wa Mo dewji blog, ilizozipata usiku wa jana Machi 8, ambapo taarifa hiyo iliyosomeka katika kiunganishi cha link hii: http://dewjiblog.com/2015/03/08/breaking-news-ukatili-tena-mtoto-mwingine-mwenye-albinism-mama-mtu-ajeruhiwa-vibaya/
Habari hii Inasikitisha na ni kitendo cha aibu katika Taifa kama Tanzania ambalo huko nje...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-QlFeShnLU/VfwO40bnW9I/AAAAAAAH510/NZaohcqfnSk/s72-c/PM%2B-1.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AENDELEA KUPOKEA MISAADA YA VIFAA MBALIMBALI KUSAIDIA SHULE MPYA YA MSINGI KAKUNI MKOANI KATAVI
Pinda amepokea misaada hiyo kutoka Kampuni hizo kwa lengo la kuzindua mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Kakuni katika kijiji cha Kibaoni Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi.
Shule ya Msingi Kakuni iliyopo kijiji cha Kibaoni Mkoani Katavi ni Shule aliyosoma Waziri Mkuu huyo Mhe,Mizengo Pinda.
Mradi huo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--6prYHRXREw/XnxTBogcL2I/AAAAAAALlD8/KA-WMwzU7b4P3WNagOdlf9-EEWhVw5Q0wCLcBGAsYHQ/s72-c/f44510c6-858d-4218-a8c0-5a74541ce1c4.jpg)
WAZIRI NDALICHAKO AAHIDI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WABUNGE UJENZI WA SHULE MAALUM YA SEKONDARI WASICHANA JIJINI DODOMA.
Profesa Ndalichako ametoa ahadi hiyo alipotembelea shule hiyo akiongozana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai ili kujionea maendeleo ya ujenzi huo ambapo amesema Wizara itatoa mchango...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Msama aungwe mkono katika juhudi hizi kuntu
HIVI karibuni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama, ameibuka na wazo jipya la wenye uwezo kuwasaidia makundi maalumu katika jamii kama walemavu, yatima, wajane na wasio nacho kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ehA-bgx_BIk/U49OQz0gZNI/AAAAAAAFnrI/TLhckY2uc74/s72-c/unnamed+(2).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA SHULE YA WASIOONA YA BIGIRI - DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ehA-bgx_BIk/U49OQz0gZNI/AAAAAAAFnrI/TLhckY2uc74/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DzIMSWMn01Q/U49OTG5CMZI/AAAAAAAFnrQ/JARWRNwywEA/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rVgggLtfGq4/U49OVUPA8-I/AAAAAAAFnrc/5UO9_eBlG9w/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Waziri Mkuu Majaliwa amtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda!
![IMGS2602](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS2602.jpg)
9 years ago
Dewji Blog18 Sep
Pinda aendelea kupokea misaada ya vifaa mbalimbali kusaidia shule mpya ya msingi Kakuni Mkoani Katavi
Mwakilishi wa Kampuni ya HUAWEI nchini Tanzania Bw. Jimmy Liguo Jin (kushoto) akimkabidhi Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda sehemu ya msaada wa kompyuta mpakato zilizotolewa na kampuni hiyo kusaidia wanafunzi wa shule mpya ya Msingi ya Kakuni iliyo katika kijiji cha Kibaoni mkoani Katavi leo jijini Dar es salaam. Shule hiyo ya kisasa imeanzishwa kufuatia wazo la Wazo la Waziri Mkuu, Mhe.Mizengo Pinda la kuwa na shule Bora na ya kisasa katika kijiji hicho na inajengwa kupitia michango na...