Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msama aungwe mkono katika juhudi hizi kuntu

HIVI karibuni Mkurugenzi wa Kampuni ya  Msama Promotions, Alex Msama, ameibuka na wazo jipya la wenye uwezo kuwasaidia makundi maalumu katika jamii kama walemavu, yatima, wajane na wasio nacho kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu

TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...

 

9 years ago

Mwananchi

Lukuvi aungwe mkono katika hili

Tangu zamani, matumizi ya ardhi yamekuwa ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakisababisha mizozo na hata migogoro mingi katika jamii mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

JUHUDI HIZI ZA WAZIRI MKUU PINDA KUSAIDIA SHULE ALIYOSOMEA ZIUNGWE MKONO

Pichani juu na chini ni baadhi ya majengo yaliyokamilika ya Shule ya msingi Kakuni yaliyojengwa na Waziri Mkuu Pinda kupitia michango ya wadau wa maendeleo.
Na Andrew Chale wa modewji blog
Kila mmoja wetu anatambua mchango mkubwa wa elimu hasa ile inayotolewa ikiwemo ngazi ya Awali, Msingi, Sekondari na elimu ya juu ikiwemo chuo. Pia katika hilo ni jamb la msingi sana na la maana hasa unapokumbuka mahala ulipopatia elimu husika.
Mtandao huu wa Mo dewjii blog tunapenda kuungana na kumpongeza...

 

10 years ago

Dewji Blog

TAHARIRI YA MO DEWJI BLOG: Juhudi hizi za Waziri Mkuu Pinda kusaidia shule aliyosomea ziungwe mkono

photo 4

Pichani juu na chini ni baadhi ya majengo yaliyokamilika ya Shule ya msingi Kakuni yaliyojengwa na Waziri Mkuu Pinda kupitia michango ya wadau wa maendeleo.

Na Andrew Chale wa modewji blog

Kila mmoja wetu anatambua mchango mkubwa wa elimu hasa ile inayotolewa ikiwemo ngazi ya Awali, Msingi, Sekondari na elimu ya juu ikiwemo chuo. Pia katika hilo ni jamb la msingi sana na la maana hasa unapokumbuka mahala ulipopatia elimu husika.

Mtandao huu  wa Mo dewjii blog   tunapenda kuungana  na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa hili Kikwete aungwe mkono

KATIKA hotuba yake ya kufunga mwaka 2013 juzi, Rais Jakaya Kikwete alisema Operesheni Tokomeza Ujangili iliyositishwa kwa muda kutokana na utekelezaji wake kukumbwa na kasoro itaendelea baada ya kukamilika kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu Ugiriki ataka aungwe mkono

Waziri mkuu wa Ugiriki ameliomba bunge la nchi hiyo kuunga mkono mipango yake ya kunusuru uchumi wa taifa.

 

5 years ago

Michuzi

WAMILIKI WA MAGARI YA MASAFA MAREFU ARUSHA WAUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KATIKA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA CORONA


Na Woinde Shizza,Arusha

CHAMA cha Wamiliki wa magari ya masafa marefu  Mkoa wa Arusha ,TABOA,Hakiboa pamoja na wasafirishaji wenza  wameiunga mkono serikali katika swala la kupiga vita ugonjwa wa Corona pamoja na kutoa elimu ya kuchukuwa taadhari kuhusu ugonjwa huo.

Ambapo wameamua kunua dawa ,mabomba ya kunyunyuzia dawa ,dawa za kunaiya mikono na ndoo 100 za kuwia mikono huku wakizindua rasmi mchakato wa  upigaji dawa kwa vyombo vyote vya usafirishaji  vilivyopo mkoani hapa.

Akizungumza wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

Uruwa waunga mkono juhudi za Dk Magufuli

Umoja wa Rufaa ya Wananchi (Uruwa) unaoundwa na vyama visivyopata ruzuku ya Serikali, wamepongeza utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Tano.     

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali iunge mkono harakati za Basata, Msama Promotions

“Heshima ya Tanzania katika nyanja ya sanaa na utamaduni itatokana na uwepo wa wasanii wanaojitambua tangu wakiwa wadogo, ndiyo maana sisi Msama Promotions tunasisitiza umuhimu wa kuwajenga wasanii tangu wakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani