Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lukuvi aungwe mkono katika hili

Tangu zamani, matumizi ya ardhi yamekuwa ni moja ya mambo ambayo yamekuwa yakisababisha mizozo na hata migogoro mingi katika jamii mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa hili Kikwete aungwe mkono

KATIKA hotuba yake ya kufunga mwaka 2013 juzi, Rais Jakaya Kikwete alisema Operesheni Tokomeza Ujangili iliyositishwa kwa muda kutokana na utekelezaji wake kukumbwa na kasoro itaendelea baada ya kukamilika kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msama aungwe mkono katika juhudi hizi kuntu

HIVI karibuni Mkurugenzi wa Kampuni ya  Msama Promotions, Alex Msama, ameibuka na wazo jipya la wenye uwezo kuwasaidia makundi maalumu katika jamii kama walemavu, yatima, wajane na wasio nacho kwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msama aungwe mkono katika vita hii ngumu

TASNIA ya sanaa kwa ujumla wake, si burudani tu bali ni ajira kwa wenye vipaji wanayoweza kuitumia katika kuendesha maisha yao kama ilivyo kwingineko duniani. Lakini, kwa hapa nchini bado...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri mkuu Ugiriki ataka aungwe mkono

Waziri mkuu wa Ugiriki ameliomba bunge la nchi hiyo kuunga mkono mipango yake ya kunusuru uchumi wa taifa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Andiko Hili la Wema Kuhusu Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015, Laungwa Mkono na Wengi

Naomba mimi kama Wema Sepetu, nitoe tamko langu rasmi kuhusu hii Sheria mpya iliyopitishwa bungeni. Naongelea Sheria ya cybercrime au cyberbulling. Ukweli ni Kwamba watanzania tunatumia vibaya mitandao ya kijamii. Matusi yamekuwa ni mengi na sometimes hawavumiliki. Kwa kweli kunahitahija Kuwa na laws in place za kupunguza unyanyasaji kupititia mitandao ya kijamii. That said, yes nai support hii bill ya cyber crime to an extend.

Kama jinsi ambavyo watanzania tunatumia vibaya mitandao kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili JK sawa, lakini…

NI Jumatatu nyingine tunakutana wadau wa Uwanja wa Kuchonga, kujadili na kupeana changamoto za kispoti, lengo likiwa ni kuchochea ufanisi katika sekta hii muhimu ya michezo. Bila shaka mu wazima...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msimamo wa JK upi katika hili?

MOJA ya habari kubwa kwenye Gazeti hili jana, ilihusu kauli ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe kwamba Rais Jakaya Kikwete ni kigeugeu. Mbowe ambaye alikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katika hili la Domayo, TFF inapepesa

HIVI sasa tunashuhudia timu mbalimbali za soka zikijipanga kwa ajili ya msimu unaokuja, hususan Ligi Kuu Tanzania Bara na hata mashindano ya kimataifa kwa wale ambao wamekata tiketi za kuiwakilisha...

 

9 years ago

Michuzi

LUKUVI AMEMBEZA MPINZANI WAKE KATIKA JIMBO LA ISMANI


MGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi Na fredy mgunda,IsmaniMGOMBEA ubunge wa jimbo la Ismani kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) William Lukuvi amembeza mgombea mwenzake anayegombea ubunge kwenye jimbo hilo kupitia chama cha demokrasia na maendeleo chadema Patrick Olle Sosopi na kusema kuwa Sosopi hata afanye hawezi kuvaa viatu vyake kwa kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Kauli ya Lukuvi aliitoa juzi wakati akiwahutubia wananchi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani