WAFUNGWA WALIVYOZUA TIMBWILI NA KUVUA NGUO ARUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJC5ohzoeoFXQNLxKzq9KpIEmF57ZHB04aLlIq*2kRr9uO-mjYiq0ED3MiqvbNk0t0lgbL19JKFjcVmuSbPHhR8T/MFUNGWA1.jpg)
Mmoja wa mahabusu wa Gereza Kuu la Arusha aliyeamua kuvua nguo na kubaki kama alivyozaliwa baada ya kufikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha jana. Mahabusu huyo na wenzake wanapinga upendeleo unaotolewa kwa washitakiwa wa dawa za kulevya wenye asili ya Kiasia. (PICHA NA MDAU WA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO KAMA ILI TUTUMIE KUPITIA NAMBA… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dO2wr1T_l4M/default.jpg)
GENOVEVA ANONMA ALILAZIMISHWA KUVUA NGUO NA KUKAGULIWA JINSIA YAKE
Viongozi wa timu za Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walidhani Genoveva Anonma ni mwanaume. Jitiririshe chini akiwa uwanjani kwenye soma zaidi
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Anonma-Genoveva-7151.jpg?resize=1024%2C768)
Kashfa hii ilianzishw akwenye muichuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa kina mama ambapo viongozi wa Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walizusha hoja kuwa wachezjai watatu wa Equatorial Guinea ni wanaume na si wanawake . Credit:MillardAyo.com
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!
![Mroki-Mporojost](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/Mroki-Mporojost.jpg)
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.
Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Je kuvua nguo zote unapoingia nyumbani na kusafisha vyakula ulivyonunua kunasaidia kukabiliana na virusi hivi?
10 years ago
Michuzi18 Mar
WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ES SALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI
Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakikata vitambaa vya nguo kabla ya kuanza kushona nguo za Wafungwa Magerezani. Wafungwa hao hujifunza Stadi mbalimbali za ujuzi ambazo huwasaidia kujipatia kipato mara tu wanapomaliza kifungo chao.
Wafungwa wa Gereza Kuu Ukonga, Jijini Dar es Salaam wakiendelea na ushonaji wa nguo za aina mbalimbali kama wanavyoonekana katika picha. Jeshi la Magereza nchini linatekeleza ipasavyo jukumu lake la Urekebishaji kwa kuwapatia ujuzi wa fani...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-8ZygurdmYJ4/VQiFxJ9709I/AAAAAAADc10/CZniigaRuX0/s72-c/image.jpeg)
WAFUNGWA GEREZA KUU UKONGA, DAR ESALAAM MAHIRI KWA USHONAJI WA NGUO ZA AINA MBALIMBALI MAGEREZANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-8ZygurdmYJ4/VQiFxJ9709I/AAAAAAADc10/CZniigaRuX0/s1600/image.jpeg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Operesheni Safisha Jiji Arusha shubiri kwa mafundi nguo
OPERESHENI Safisha Jiji ya kuwaondoa machinga wanaouza bidhaa zao barabarani ilianza mwaka 2012 kama ilivyokubalika kwenye Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Licha ya mwaka jana operesheni hiyo kufanikiwa, mwaka...
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa
SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...