Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa
SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Sep
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IgfLryzUxzQ/U7Q5mALOa-I/AAAAAAACkpA/wF5aiP6mr54/s72-c/m6.jpg)
Mukabwa aitwa Kuvua Viatu Mashabiki
![](http://1.bp.blogspot.com/-IgfLryzUxzQ/U7Q5mALOa-I/AAAAAAACkpA/wF5aiP6mr54/s1600/m6.jpg)
MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili nchini Kenya, Anastazia Mukabwa, ni miongoni mwa wakali ambao mwimbaji Rose Muhando anatamani wawepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu. Rose Muhando amepanga kuzindua albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu Agosti 3, mwaka huu ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam. Akizungumza na gazeti hili, Muhando alisema Mukabwa aliyemshirikisha katika wimbo wa Vua...
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Waaga mchuano baada ya kuagizwa kuvua hijab
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJC5ohzoeoFXQNLxKzq9KpIEmF57ZHB04aLlIq*2kRr9uO-mjYiq0ED3MiqvbNk0t0lgbL19JKFjcVmuSbPHhR8T/MFUNGWA1.jpg)
WAFUNGWA WALIVYOZUA TIMBWILI NA KUVUA NGUO ARUSHA
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
10 years ago
Habarileo19 Jul
Aliyechana fomu kwa kukataa kuvua hijab mbaroni
WATU wawili wamekamatwa katika vituo viwili tofauti vya uandikishwaji wa daftari la mpigakura kwa kosa la kuchana karatasi ya maelezo ya mpiga kura (Fomu namba moja) na mwingine kwa kosa la kujiandikisha mara mbili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbWsbMMqt9oh*YAgUsPYoBlKbMpTtLnFJrlUygYlGePI9HzO6Lozziz6JOgqaI7ZMkoQskk1aVEIeCcd5klpX7Qa/sitt.jpg)
SITTI MTEMVU KUVUA LA TEMEKE, CHANG’OMBE
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!
![Mroki-Mporojost](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/Mroki-Mporojost.jpg)
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.
Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...