Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zabuni ya kuvua mamba yatangazwa

SERIKALI imetangaza zabuni ya kuvua mamba 118 nchini ambapo maeneo yatakayopewa kipaumbele ni yale yaliyothibitishwa kuwa na mamba waharibifu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu aliyasema hayo jana wakati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mabomu yanavyotumika kuvua TZ

Ni biashara inayoleta kipato kikubwa, mamilioni ya dola kwa mwaka.

 

11 years ago

Michuzi

Mukabwa aitwa Kuvua Viatu Mashabiki

 Waimbaji nyota wa muzki wa Injili,Anastazia Mukabwa akiwa amepozi na Rose Muhando.
MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili nchini Kenya, Anastazia Mukabwa, ni miongoni mwa wakali ambao mwimbaji Rose Muhando anatamani wawepo kwenye uzinduzi wa albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu. Rose Muhando amepanga kuzindua albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu Agosti 3, mwaka huu ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam. Akizungumza na gazeti hili, Muhando alisema Mukabwa aliyemshirikisha katika wimbo wa Vua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waaga mchuano baada ya kuagizwa kuvua hijab

Sheria za shirikisho la mpira wa vikapu haziruhusu mavazi kichwani

 

11 years ago

GPL

WAFUNGWA WALIVYOZUA TIMBWILI NA KUVUA NGUO ARUSHA

Mmoja wa mahabusu wa Gereza Kuu la Arusha aliyeamua kuvua nguo na kubaki kama alivyozaliwa baada ya kufikishwa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Arusha jana. Mahabusu huyo na wenzake wanapinga  upendeleo unaotolewa kwa washitakiwa wa dawa za kulevya wenye asili ya Kiasia. (PICHA NA MDAU WA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779, KAMA UNA TUKIO KAMA ILI TUTUMIE KUPITIA NAMBA… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Apokonywa dhahabu kwa kuvua shati lake

Mwanariadha wa Ufaransa, alimaliza wa kwanza katika mbio za mita 3,000 lakini akavua shati lake

 

11 years ago

GPL

MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA

stori: MWANDISHI WETU, GEITA USHIRIKINA umetajwa kwa mahabusu wa Gereza la Wilaya ya Geita waliovua nguo mbele ya Mahakama ya Mwanzo ya Nyankumbu mkoani hapa wakimshinikiza Mkuu wa Mkoa wa Geita (Said Magalula), Jaji Mkuu (Mohammed Chande Othman) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Stephen Werema) kusikiliza madai yao ya msingi. Mahabusu wakivua nguo mbele ya Mahakama. Tukio hilo lilijiri Juni 26, mwaka huu saa 3:00 asubuhi ikiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyechana fomu kwa kukataa kuvua hijab mbaroni

WATU wawili wamekamatwa katika vituo viwili tofauti vya uandikishwaji wa daftari la mpigakura kwa kosa la kuchana karatasi ya maelezo ya mpiga kura (Fomu namba moja) na mwingine kwa kosa la kujiandikisha mara mbili.

 

10 years ago

GPL

SITTI MTEMVU KUVUA LA TEMEKE, CHANG’OMBE

Stori: Mwandishi Wetu
HAIJAKAA sawasawa! Siku chache baada ya Sitti Abbas Mtemvu (25) kujivua taji la Miss Tanzania 2014 kwa madai ya kusakamwa na vyombo vya habari kuhusu umri wake, wadau wamemwangushia uwajibikaji  mwingine wakimtaka avue mataji mengine mawili. Aliyekuwa Miss Tanzania 2014 Sitti Abbas Mtemvu. Baadhi ya wadau wa sanaa waliozungumza na Risasi Mchanganyiko Jumatatu iliyopita jijini Dar walisema kama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!

Mroki-Mporojost

MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.

Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani