MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
stori: MWANDISHI WETU, GEITA USHIRIKINA umetajwa kwa mahabusu wa Gereza la Wilaya ya Geita waliovua nguo mbele ya Mahakama ya Mwanzo ya Nyankumbu mkoani hapa wakimshinikiza Mkuu wa Mkoa wa Geita (Said Magalula), Jaji Mkuu (Mohammed Chande Othman) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Stephen Werema) kusikiliza madai yao ya msingi. Mahabusu wakivua nguo mbele ya Mahakama. Tukio hilo lilijiri Juni 26, mwaka huu saa 3:00 asubuhi ikiwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJC5ohzoeoFXQNLxKzq9KpIEmF57ZHB04aLlIq*2kRr9uO-mjYiq0ED3MiqvbNk0t0lgbL19JKFjcVmuSbPHhR8T/MFUNGWA1.jpg)
WAFUNGWA WALIVYOZUA TIMBWILI NA KUVUA NGUO ARUSHA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*67Uoec4vv2EHt7ZZZPpwuVa-zAWFdHX7aUXTEye5t*t8EA9-UixXdO3lpZoWywsz*fmIdgrv0a71lrBT4Sp*BIEPxnS*THv/Punda.jpg?width=650)
MTOTO AIBWA NA PUNDA, USHIRIKINA WATAJWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slcWivm*LfUpAs8uxh3*WixFhNYUsF0FIMDbfT9uT5wNC0XR4y9FfxpY6yOfNcgsd6FAshaYwuUh0VwrUZKjKtGA/11.jpg)
KIFO CHA MILIONEA MOSHI, USHIRIKINA WATAJWA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dO2wr1T_l4M/default.jpg)
GENOVEVA ANONMA ALILAZIMISHWA KUVUA NGUO NA KUKAGULIWA JINSIA YAKE
Viongozi wa timu za Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walidhani Genoveva Anonma ni mwanaume. Jitiririshe chini akiwa uwanjani kwenye soma zaidi
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Anonma-Genoveva-7151.jpg?resize=1024%2C768)
Kashfa hii ilianzishw akwenye muichuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa kina mama ambapo viongozi wa Ghana , Nigeria na Afrika Kusini walizusha hoja kuwa wachezjai watatu wa Equatorial Guinea ni wanaume na si wanawake . Credit:MillardAyo.com
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Wanawake vaeni nguo sasa, kama kuvua mumeshavua imetosha!
![Mroki-Mporojost](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/Mroki-Mporojost.jpg)
MOJA ya sifa ya mwandishi ni kusoma, na katika kusoma huko na kupekua pekua hapa na pale unaweza kujifunza na kupata la kuandika kupitia maandiko ya watu wengine na kutoa elimu kwa umma. Leo nimepita pita katika kurasa za marafiki zangu huko katika uso wa kitabu ‘Facebook nikakutana na nasaha ya ndugu yangu Victory Richard, juu ya kuwasihi wanawake kwamba sasa wavae nguo.
Ndugu yangu yule amechoshwa na tabia za dada zetu, wake zetu na hata mama zetu wakati mwingine wanavyotembea uchi,...
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi
11 years ago
Mwananchi07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Je kuvua nguo zote unapoingia nyumbani na kusafisha vyakula ulivyonunua kunasaidia kukabiliana na virusi hivi?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...