Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO AIBWA NA PUNDA, USHIRIKINA WATAJWA

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Tukio ambalo si la kawaida limetokea Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto wa miezi mitano aliibwa na punda na kuzua tafrani kubwa.Purukushani hiyo ilitokana na punda huyo kumng’ata na kuanza kukimbia naye mtoto katika Soko la Lumambo wilayani Kahama. Majeraha aliyoyapata mtoto huyo baada ya kujeruhiwa na Punda. Akizungumza na mwandishi wetu katika wodi ya watoto Hospitali ya Wilaya ya Kahama,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA

stori: MWANDISHI WETU, GEITA USHIRIKINA umetajwa kwa mahabusu wa Gereza la Wilaya ya Geita waliovua nguo mbele ya Mahakama ya Mwanzo ya Nyankumbu mkoani hapa wakimshinikiza Mkuu wa Mkoa wa Geita (Said Magalula), Jaji Mkuu (Mohammed Chande Othman) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Stephen Werema) kusikiliza madai yao ya msingi. Mahabusu wakivua nguo mbele ya Mahakama. Tukio hilo lilijiri Juni 26, mwaka huu saa 3:00 asubuhi ikiwa...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MILIONEA MOSHI, USHIRIKINA WATAJWA

Na mwandishi wetu, Moshi
MWEZI mmoja baada ya mfanyabiashara wa Arusha, Timoth Mroki (36) kujiua kwa kujipiga risasi, mfanyabiashara milionea mwingine maarufu wa Moshi, Augustino Mallya (40), naye Jumatatu iliyopita alijiua kwa kujipiga risasi akiwa nyumbani kwake eneo la Karanga, mjini Moshi huku ushirikina ukitajwa. Mfanyabiashara milionea maarufu wa Moshi, Augustino Mallya (40) aliyejiua kwa risasi. Baadhi ya watu waliokuwa...

 

11 years ago

Michuzi

Msaada tutani: mtoto aibwa changanyikeni leo, ataemuona atoe taarifa polisi

MTOTO KAIBIWA CHANGANYIKENI LEO ANAITWA MARLYN.
ATAKAEMUONA NNAOMBA ATUSAIDIE KUTOA TAARIFA KITUO CHOCHOTE CHA POLICE. AMEIBIWA NA MKAKA KANYOA PANK. 
Please upatapo ujumbe huu mfowardie na mwenzako

 

10 years ago

Habarileo

Ushirikina wa kumbaka mtoto wamtupa jela maisha

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi wilaya ya Shinyanga imemhukumu kifungo cha maisha jela mkazi wa mtaa wa Kitangili katika manispaa ya Shinyanga baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumpa ujauzito mtoto wake wa kambo, mwanafunzi wa darasa la tatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Punda wakamatwa na bangi

JESHI la Polisi mkoani Arusha, limekamata shehena ya magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya bangi yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 18 ikiwa inasafirishwa kwa punda huku...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Punda walishwa mihadarati Kenya

Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyama ya punda yasindikwa nchini

Na Khamis Mkotya, Dodoma

SERIKALI imekiri kuruhusu uanzishwaji wa kiwanda cha kusindika nyama ya punda kilichopo mkoani hapa.

Imekiri hivyo baada ya Mbunge wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), kuibua hoja hiyo juzi jioni wakati wa kupitisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Katika hoja yake, alitaka kujua juhudi zilizofanywa na Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipodozi (TFDA), kukagua viwanda vya usindikaji wa chakula ikiwa ni pamoja na kiwanda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Punda wapendanao wazua kihoja

Punda wawili waliozua mjadala kutokana na mienendo yao ya kujamiiana sana wameunganishwa tena nchini Poland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani