Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Punda wapendanao wazua kihoja

Punda wawili waliozua mjadala kutokana na mienendo yao ya kujamiiana sana wameunganishwa tena nchini Poland.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Habre azua kihoja mahakamani

Maafisa wa polisi wamelazimika kutumia nguvu kumuingiza na kumdhibiti kiongozi wa zamani wa Chad Hissene Habre katika mahakama ya Dakar Senegal

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtuhumiwa azua kihoja mahakamani Rwanda

Mushukiwa wa mauaji ya kimbari amekataa kesi yake kusikilizwa akisema kwamba hana haki zilizo sawa na mwendesha mashitaka.

 

9 years ago

Vijimambo

MCHUNGAJI MTIKILA AIBUKA NA KIHOJA HIKI LEO,NAYE AUNGANA NA LIPUMBA NA SLAA KUIMBA WIMBO WA LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA


NA KAROLI VINSENTMWENYEKITI wa cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kihoja pale alipowataka Watanzania siku ya kupiga kura tarehe 25 octoba mwaka huu kutoipigia kura kipengele cha Urais na wataka watanzaniakuwachagua wabunge na Madiwani peke yake,kwakuwa wagombea wote wa urais waliosiamishwa kwenye vyama vayo hawana uwezo wa kuliongoza taifa hili.Kauli ya hiyo ya Mchangaji Mtikila ameitoa leo Jijini Dar es Saalam wakati wa mkutano na waandishi wa Habari ambapo...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Punda wakamatwa na bangi

JESHI la Polisi mkoani Arusha, limekamata shehena ya magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya bangi yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 18 ikiwa inasafirishwa kwa punda huku...

 

9 years ago

BBCSwahili

Punda na farasi ni marufuku Nigeria

Jeshi la Nigeria limepiga marufuku utumizi wa punda na Farasi katika jimbo la Borno

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda walishwa mihadarati Kenya

Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.

 

10 years ago

Mtanzania

Nyama ya punda yasindikwa nchini

Na Khamis Mkotya, Dodoma

SERIKALI imekiri kuruhusu uanzishwaji wa kiwanda cha kusindika nyama ya punda kilichopo mkoani hapa.

Imekiri hivyo baada ya Mbunge wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), kuibua hoja hiyo juzi jioni wakati wa kupitisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Katika hoja yake, alitaka kujua juhudi zilizofanywa na Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipodozi (TFDA), kukagua viwanda vya usindikaji wa chakula ikiwa ni pamoja na kiwanda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kichinjio cha Punda kuzinduliwa Kenya

Kwa muda mrefu mizoga ya wanyama hao imekuwa ikipatikana kando ya barabara au msituni ambako wezi huificha baada ya kuwachinja Punda hao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani