Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Punda na farasi ni marufuku Nigeria

Jeshi la Nigeria limepiga marufuku utumizi wa punda na Farasi katika jimbo la Borno

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchinjwaji wa punda, je ni kwanini?

Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya uchinjwaji wa punda nchini huko ili kuzuwia ku kutokomea kwa wanyama hao ambao idadi yao inasemekana kupundua.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marufuku ya Utumizi wa magari Nigeria

Jeshi la Nigeria limepiga marufuku utumizi wa magari kwa siku tatu katika jimbo la Borno kazkazini lihofia shambulizi.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA imeipiga marufuku Nigeria

FIFA imeipiga marufuku Nigeria kwa muingilio wa serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Nigeria yakabiliwa na marufuku

Nigeria inakabiliwa na marufuku ambayo huenda ikaitupa nje kushiriki katika michuano ya taifa bora barani afrika mwaka ujao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapinga marufuku ya maandamano Nigeria

Watu wanaounga mkono maandamano ya kushinikiza serikali kuwanusuru wasichana waliotekwa nyara wamepinga marufuku ya maandamano mjini Abuja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yaponea marufuku ya FIFA

Fifa imethibitisha kuwa Nigeria imefanikiwa kukwepa kupigwa marufuku kutoka kwa soka ya kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yatishia kupiga marufuku Nigeria

FIFA imetishia kutimua Nigeria kutoka kwa shirikisho hilo iwapo Giwa ataendelea kuwa rais wa NFF

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA yampiga marufuku Kiungo wa Nigeria

Mchezaji wa timu ya wanawake ya Nigeria Ugo Njoku amepigwa marufuku ya mechi tatu na kamati ya nidhamu ya FIFA.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA yaondoa marufuku dhidi ya Nigeria

Shirikisho la soka duniani FIFA limendoa marufuku lililoiwekea Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani