Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Punda walishwa mihadarati Kenya

Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

KwanzaJamii

IRINGA WALISHWA NYAMA YA MIZOGA YA PUNDA, PAKA NA MBWA

Mwananchi huyu alikutwa akiuchuna mzoga wa punda huyu huko Migori wilayani Iringa. Maeneo mengi ya vijijini katika Mkoa wa Iringa yanalalamikiwa na wananchi kwamba wanalishwa mizoga ya punda, paka na mbwa. (Picha na Said Ng’amilo). Na Mathias Canal, Iringa WAKAZI wa Kitongoji cha Lugofu katika Kijiji cha Ilandutwa, Wilaya ya Iringa Vijijini, mkoani Iringa wamelaani kitendo cha baadhi ya wafanya biashara wa nyama kijijini hapo kuwalisha nyama ya paka, mbwa na punda pasipo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda watumiwa kutoa ujumbe Kenya

Wanaharakati hii leo waliwapeleka Punda katikati ya mji wa Nairobi waliokuwa na maandiko ''Tumechoka'' kuonyesha wakenya walivyochoshwa na utovu wa usalama

 

11 years ago

BBCSwahili

Kichinjio cha Punda kuzinduliwa Kenya

Kwa muda mrefu mizoga ya wanyama hao imekuwa ikipatikana kando ya barabara au msituni ambako wezi huificha baada ya kuwachinja Punda hao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchinjwaji wa punda, je ni kwanini?

Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya uchinjwaji wa punda nchini huko ili kuzuwia ku kutokomea kwa wanyama hao ambao idadi yao inasemekana kupundua.

 

10 years ago

GPL

Wachezaji Yanga walishwa kiapo

Wachezaji wa Yanga. Na Wilbert Molandi, Bagamoyo
HOFU imetanda kwenye kambi ya Yanga baada ya benchi la ufundi la timu hiyo kufanya kikao kizito na wachezaji wao na kuwalisha kiapo wakihofia hujuma kutoka kwa wapinzani wao, Simba.Hatua hiyo imekuja siku chache kabla ya Yanga kuivaa Simba katika Ligi Kuu Bara, keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga kwa sasa ipo Bagamoyo wakati Simba imejichimbia Zanzibar,...

 

10 years ago

Mwananchi

Ng’ombe walishwa mbolea wanenepe

Baadhi ya wafugaji wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanatumia mbolea ya kupandia na kukuzia mazao kulishia mifugo yao kwa madai kuwa huinenepesha.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Dar walishwa mayai mabovu

AFYA za wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kudaiwa kula mayai ya kuku mabovu ambayo yameingizwa nchini kinyemela na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni...

 

10 years ago

Habarileo

Z’bar ‘walishwa yamini’ CCM ishinde

Mama Mwanamwema Shein ZANZIBAR wametakiwa kufanya kazi ya kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda katika Uchaguzi Mkuu na si kupanga safu ya kupata viongozi wa kuongoza chama.

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani