Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Z’bar ‘walishwa yamini’ CCM ishinde

Mama Mwanamwema Shein ZANZIBAR wametakiwa kufanya kazi ya kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda katika Uchaguzi Mkuu na si kupanga safu ya kupata viongozi wa kuongoza chama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge

Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na wabunge.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC, polisi, wasimamizi walishana yamini

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaagiza waratibu na wasimamizi wa uchaguzi pamoja na makamanda wa polisi kutenda haki wakati wa Uchaguzi Mkuu kwa kuwa usalama wa Taifa upo mikononi mwao na kuonya kuwa kosa lolote linaweza kuiingiza nchi matatizoni.

 

10 years ago

Mwananchi

Ng’ombe walishwa mbolea wanenepe

Baadhi ya wafugaji wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanatumia mbolea ya kupandia na kukuzia mazao kulishia mifugo yao kwa madai kuwa huinenepesha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda walishwa mihadarati Kenya

Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.

 

10 years ago

GPL

Wachezaji Yanga walishwa kiapo

Wachezaji wa Yanga. Na Wilbert Molandi, Bagamoyo
HOFU imetanda kwenye kambi ya Yanga baada ya benchi la ufundi la timu hiyo kufanya kikao kizito na wachezaji wao na kuwalisha kiapo wakihofia hujuma kutoka kwa wapinzani wao, Simba.Hatua hiyo imekuja siku chache kabla ya Yanga kuivaa Simba katika Ligi Kuu Bara, keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga kwa sasa ipo Bagamoyo wakati Simba imejichimbia Zanzibar,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Dar walishwa mayai mabovu

AFYA za wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kudaiwa kula mayai ya kuku mabovu ambayo yameingizwa nchini kinyemela na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Maalim Seif ataka waumini waiombee CUF ishinde

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaomba waumini wa dini zote nchini, kukiombea dua chama chake kifanikiwe kwenye kampeni na kushinda uchaguzi.

 

10 years ago

TheCitizen

CCM Z'bar throw out veteran

Zanzibar. Chama cha Mapinduzi in Zanzibar yesterday dismissed form the party one of its long serving and prominent politicians, Mr Hassan Nassor Moyo, after it was conviced he was acting against the CCM regulations and interests.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani