Z’bar ‘walishwa yamini’ CCM ishinde
ZANZIBAR wametakiwa kufanya kazi ya kuhakikisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinashinda katika Uchaguzi Mkuu na si kupanga safu ya kupata viongozi wa kuongoza chama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Jul
CCM inamhitaji Lowassa ili Ishinde uchaguzi- Kingunge
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale-Mwiru amesema CCM inamuhitaji Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwenye mchakato wa Uchaguzi Mkuu na kukitaka chama hicho kujadili jambo hilo ili kuondoa tofauti zilizojitokeza kabla ya kupiga kura za kumchagua Rais na wabunge.
9 years ago
Mwananchi08 Oct
NEC, polisi, wasimamizi walishana yamini
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewaagiza waratibu na wasimamizi wa uchaguzi pamoja na makamanda wa polisi kutenda haki wakati wa Uchaguzi Mkuu kwa kuwa usalama wa Taifa upo mikononi mwao na kuonya kuwa kosa lolote linaweza kuiingiza nchi matatizoni.
10 years ago
Mwananchi30 Sep
Ng’ombe walishwa mbolea wanenepe
Baadhi ya wafugaji wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanatumia mbolea ya kupandia na kukuzia mazao kulishia mifugo yao kwa madai kuwa huinenepesha.
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Punda walishwa mihadarati Kenya
Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3JCX7BrXlulAg7jcwcw9Igm8WfgJlxVHXwgjxGxmwZ6FnXgvA7Fcj8FH7t1pC*bOFHopTebKXMloToanVDs2Gku/1.jpg)
Wachezaji Yanga walishwa kiapo
Wachezaji wa Yanga. Na Wilbert Molandi, Bagamoyo
HOFU imetanda kwenye kambi ya Yanga baada ya benchi la ufundi la timu hiyo kufanya kikao kizito na wachezaji wao na kuwalisha kiapo wakihofia hujuma kutoka kwa wapinzani wao, Simba.Hatua hiyo imekuja siku chache kabla ya Yanga kuivaa Simba katika Ligi Kuu Bara, keshokutwa Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar. Yanga kwa sasa ipo Bagamoyo wakati Simba imejichimbia Zanzibar,...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Wakazi Dar walishwa mayai mabovu
AFYA za wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kudaiwa kula mayai ya kuku mabovu ambayo yameingizwa nchini kinyemela na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni...
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Maalim Seif ataka waumini waiombee CUF ishinde
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaomba waumini wa dini zote nchini, kukiombea dua chama chake kifanikiwe kwenye kampeni na kushinda uchaguzi.
10 years ago
TheCitizen20 Apr
CCM Z'bar throw out veteran
Zanzibar. Chama cha Mapinduzi in Zanzibar yesterday dismissed form the party one of its long serving and prominent politicians, Mr Hassan Nassor Moyo, after it was conviced he was acting against the CCM regulations and interests.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania