Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Punda watumiwa kutoa ujumbe Kenya

Wanaharakati hii leo waliwapeleka Punda katikati ya mji wa Nairobi waliokuwa na maandiko ''Tumechoka'' kuonyesha wakenya walivyochoshwa na utovu wa usalama

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge ‘atoweka’, wazazi watumiwa ujumbe wa vitisho

Mgombea ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo katika Jimbo la Bariadi Magharibi, Masunga  Nghezo ametoweka kusikojulikana na hajapatikana hadi sasa akiwa katika harakati za kufanya mikutano ya hadhara katika jimbo hilo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mmea hatari watumiwa kuzalisha kawi Kenya

Mmea wa Mathenge ulikuwa umegeuka kero maeneo mengi Kenya lakini sasa umekuwa baraka baada ya kuanza kutumiwa kuzalisha kawi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda walishwa mihadarati Kenya

Kumekuwa na shutuma kuwa Punda hutumiwa vibaya na baadhi ya wanaowamiliki Kenya na wengine wakidaiwa kupewa mihadarati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kichinjio cha Punda kuzinduliwa Kenya

Kwa muda mrefu mizoga ya wanyama hao imekuwa ikipatikana kando ya barabara au msituni ambako wezi huificha baada ya kuwachinja Punda hao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Serikali ya Kenya imepiga marufuku uchinjwaji wa punda, je ni kwanini?

Serikali ya Kenya imetangaza marufuku ya uchinjwaji wa punda nchini huko ili kuzuwia ku kutokomea kwa wanyama hao ambao idadi yao inasemekana kupundua.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tff kutoa ujumbe maalum

Shirikisho la soka nchini Tanzania litatoa ujumbe siku yamechi ya watani wa jadi , kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi

 

10 years ago

Vijimambo

dris Mshindi wa BBA Aonyesha Nyumba yake Aliyonunua na Kutoa Ujumbe Mkali kwa Mashabiki wake

"I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all sorts of sayings like "you will never make it" to where i am now. I have shaken millions of hands not knowing who has good intentions with me. The world is for everyone who has a dream and a good will to it. The world is for all who want to change lives and make people smile. The world full of good...

 

11 years ago

BBCSwahili

Onyo kwa wanaotuma ujumbe wa ngono Kenya

Kumtumia mtu ujumbe wenye picha za watu walio uchi au zenye ujumbe wa kingono nchini Kenya kutakuweka mashakani kiasi cha kufungwa jela

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kodi ya Escrow

Naibu waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Serikali imesema imeshachukua hatua za kulipwa kodi kutoka kwa watu walionufaika na mgawo wa fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wizara yake imeshawaandikia ankara za malipo ya kodi wadaiwa wote waliopokea mgawo huo.

Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), alisema serikali imewapatia siku 30 watu hao ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani