Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmea hatari watumiwa kuzalisha kawi Kenya

Mmea wa Mathenge ulikuwa umegeuka kero maeneo mengi Kenya lakini sasa umekuwa baraka baada ya kuanza kutumiwa kuzalisha kawi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ugonjwa hatari utakaomaliza mmea wa ndizi.

Wanasayansi kote duniani wanashughulikia mbinu za kuzuia ndizi kupotea dunianai kufwatia ugonjwa wa Panama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda watumiwa kutoa ujumbe Kenya

Wanaharakati hii leo waliwapeleka Punda katikati ya mji wa Nairobi waliokuwa na maandiko ''Tumechoka'' kuonyesha wakenya walivyochoshwa na utovu wa usalama

 

9 years ago

Mwananchi

Viwanda hatari vinavyotumia watoto kuzalisha nguo Bangladesh

Mazingira ya uzalishaji katika viwanda vingi kwenye nchi maskini si mazuri sana. Uzalishaji katika sehemu nyingi hufanyika katika mazingira yanayohatarisha usalama wa maisha ya wafanyakazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya katika hatari ya kupata Ebola

WHO limeelea kuhusu hatari ya ugonjwa wa Ebola kufika Kenya kutokana na nchi hiyo kuwa kitovu cha usafiri wa ndege kwenda Afrika Magharibi

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge:Ugaidi Kenya hatari kwa utalii

MJADALA wa Bajeti Kuu ya Serikali umeendelea kushika kasi bungeni mjini hapa ambapo wabunge wameitaka Serikali kuwa makini na mashambulizi ya kigaidi yanayotokea nchini Kenya kwa vile yanaweza kuathiri sekta ya utalii nchini. Mbali ya onyo hilo wabunge pia wameitaka Serikali kuangalia uwezekano wa kuwatoza kodi wamiliki wa nyumba za kupanga, kama chanzo kipya cha kuongeza mapato yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yatumia kawi kuishurutisha Ukraine

Marekani imelaani kile imekitaja kuwa hatua ya Urusi kutumia kaiwi kama chombo cha kuishurutisha Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria: Uchumi unategemea kuwepo kwa kawi

Kwa jumla Nigeria hukosa umeme kwa jumla ya siku 46 kwa mwaka

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kodi ya Escrow

Naibu waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Serikali imesema imeshachukua hatua za kulipwa kodi kutoka kwa watu walionufaika na mgawo wa fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wizara yake imeshawaandikia ankara za malipo ya kodi wadaiwa wote waliopokea mgawo huo.

Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), alisema serikali imewapatia siku 30 watu hao ili...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea ubunge ‘atoweka’, wazazi watumiwa ujumbe wa vitisho

Mgombea ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo katika Jimbo la Bariadi Magharibi, Masunga  Nghezo ametoweka kusikojulikana na hajapatikana hadi sasa akiwa katika harakati za kufanya mikutano ya hadhara katika jimbo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani